dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
[emoji13] [emoji4]Bwana wee hata sijui wamejificha wapi hawa watu,maana siku hizi watz tumegeuka akina Tola mlia gizani ili watu wasije kudowea....
Ni kweli kabisa. Unazi sio mzuri na ndio sababu ya nchi inashindwa kusonga mbele kimaendeleoNa ukiwa nje ndo unapata fursa ya kuona vyema yanayoendelea vyamani. Vinginevyo utakuwa wa kusifia kila lifanywalo na chama chako na kupinga kila linalofanywa na mpinzani wako.
Umeimbwa na nani? Huyohyuo babu seya?Kuna ule wimbo wao wa salima naukubali sana.
Umenikumbusha story ya kitambo sanaBwana wee hata sijui wamejificha wapi hawa watu,maana siku hizi watz tumegeuka akina Tola mlia gizani ili watu wasije kudowea....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hizi story zilitujenga sana sisi wahenga wa leoUmenikumbusha story ya kitambo sana
Vp wewe umelala? Au umeamka kuchimba dawa [emoji12] [emoji12] [emoji12]Watu hawalali duh
Wacha kukicha salama niutafute niusikilizePapi kocha salima mzuri kweli
Kipindi hicho nikisimuliwa hiyo na ile ya pazi na jogoo nilikuwa naogopa kweli yaan naona kama vitu vipo katika uhalisia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hizi story zilitujenga sana sisi wahenga wa leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hizo story huwezi wapa watoto wa kileo wakakusikiliza hata hata kwa dakika mojaKipindi hicho nikisimuliwa hiyo na ile ya pazi na jogoo nilikuwa naogopa kweli yaan naona kama vitu vipo katika uhalisia
Watoto wa siku hizi wamechangamka sana ila naona kama wana miss vitu vingi mno[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hizo story huwezi wapa watoto wa kileo wakakusikiliza hata hata kwa dakika moja
Utandawazi unawachangamsha mapema.Watoto wa siku hizi wamechangamka sana ila naona kama wana miss vitu vingi mno
Ni kweli wanajua mambo mengi tofauti na umri waoUtandawazi unawachangamsha mapema.
Huyo atakuwa ameingia kitandani,mbona huku mitini simuoni?[emoji12] [emoji12] [emoji12]Dingi mtoto umeingia mitini au sio
Asee best nikuage,naona macho yangu yanataka kukizidi kichwa uzito.....sijui yamekua sana [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ni kweli wanajua mambo mengi tofauti na umri wao
Aisee huenda. Leo popo wawili ndio tunatambaHuyo atakuwa ameingia kitandani,mbona huku mitini simuoni?[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Usiwaze. Usiku mwemaAsee best nikuage,naona macho yangu yanataka kukizidi kichwa uzito.....sijui yamekua sana [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]