Mkuu kambi niliyopigia kozi haijawahi kua na nanga tangu miaka hiyoNdo mlivyo tunawajua sukari wa Ruvu 🤣
Shida Fake P ni kuruti mbishi Sana, toka aje Ana sumbua😁Mkuu kambi niliyopigia kozi haijawahi kua na nanga tangu miaka hiyo
Yamekua hayo tena😅Wake wa pili mnakuwag na fujo kwa Nini?) 🤪
Usiku wa manane mnaanzaga saa ngapi nataka ni shuhudie leo mahi wangu anavyo chatishwa 🤪Yamekua hayo tena😅
Tia tim saa 00:00 tutakua tushawasiliUsiku wa manane mnaanzaga saa ngapi nataka ni shuhudie leo mahi wangu anavyo chatishwa 🤪
Oohh ☺️Tia tim saa 00:00 tutakua tushawasili
Love you too son😍😘I love you Mum 🤗🤗🤗😘😍
Dah we uta juta leo, sema ngoja nika msikilize afande sele kwenye mtazamoHapana tatizo nilikuta hakuna ulinzi🤣🤣🤣 nikasema nini hiki, tukivamiwa si tutakata viuno wote(in afande Sese Voice)
Maneno mengi mnoo 🤣 sir joblessDah we uta juta leo, sema ngoja nika msikilize afande sele kwenye mtazamo
Yes am Mr jobless pro max 🤒Maneno mengi mnoo 🤣 sir jobless
Nyie silaha ya kuua adui mnayo muda wote kikubwa ni kuitumia wakati sahihi camp iwe Salama tumeelewana afande( in sir RSM voice)Hapana tatizo nilikuta hakuna ulinzi🤣🤣🤣 nikasema nini hiki, tukivamiwa si tutakata viuno wote(in afande Sese Voice)
ulinzi vivaaaaYes am Mr jobless pro max 🤒
Vizee vichawi hivyo na fimbo zao 🤣 🤣 ila huwezi kukakuta nangaNyie silaha ya kuua adui mnayo muda wote kikubwa ni kuitumia wakati sahihi camp iwe Salama tumeelewana afande( in sir RSM voice)
Zimebaki dakiķa 47 uzi ufunguliweVizee vichawi hivyo na fimbo zao 🤣 🤣 ila huwezi kukakuta nanga
Tumeufungia rasmi maana watoto wamesha lala. Walinzi ndio kwanza siku inaelekea kufika katikatiZimebaki dakiķa 47 uzi ufunguliwe
Sitaki kelele kwanza 🤣Zimebaki dakiķa 47 uzi ufunguliwe
Lindo liendeleeTumeufungia rasmi maana watoto wamesha lala. Walinzi ndio kwanza siku inaelekea kufika katikati
Wabeba box ndio kwanza hata chai hawajanywa
Nimekukabizi lindo kua makini na walinzi wapya hakikisha kila guard ipo sehemu yake.Sitaki kelele kwanza 🤣