Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Kwanini nishindwe,bahati nzuri au mbaya nayeye kingereza sio lugha yake ya kwanza haha man it was so sweet 2012Ko uka shindwa kumu imbisha kwa lugha ya malikia?? 😆😂
Nita itafuta BuddhaView attachment 2934752
Hii movie nayo habari nyingine kwenye freestyle
🤣Mzalendo wa tanganyika 🤣 kenya whowherewewe ni mkenya?
Nita icheki Buddha, mi ni fan wa Eminem kinyama, sioni rapper wa kumshabikiaIntelligent businessman na hiyo movie bodied baba yako Eminem ndio producer
ni kama upo high 24/7🤣Mzalendo wa tanganyika 🤣 kenya whowhere
Alikuwa ana twanga lugha gani ??, 😆🤓 usi nambie kijerumani 😂Kwanini nishindwe,bahati nzuri au mbaya nayeye kingereza sio lugha yake ya kwanza haha man it was so sweet 2012
Eminem kwenye top 3 yangu hayupo,labda 5Nita icheki Buddha, mi ni fan wa Eminem kinyama, sioni rapper wa kumshabikia
Mwamba akaishiwa cha kusema.Best movie by the goat🤒🤒, kwenye huyo battle pichani, Ali ji diss, Kisha aka m destroy mwamba.
View attachment 2934748
Kuja unipe joto kuna baridi huku
na wewe huko nilipokuacha kuna usalama?ukiwa huku we ni wengu ukiend hukooo unakuwa wa wengine... thitaki nakwambia nina wivu[emoji23][emoji23][emoji23] tena mkali
Nilikaa nao nilisoma kwao 🤣 twende vivyohivyoni kama upo high 24/7
tabia za wakenya
Hah kwa hili Siri yangu Mimi naweweAlikuwa ana twanga lugha gani ??, 😆🤓 usi nambie kijerumani 😂
Yaani mtu ana jlipua, Kisha ana kupasua🤒Mwamba akaishiwa cha kusema.
me o keKuna jirani yangu sijui ni member wa huu uzi, ikifika hii mida ndio anaanzaga kupika dagaa wa kukaanga wananukia. Sio muislam kwamba anapika daku. Na nyimbo zake boringo za kitambo Loketo Mabele... Samba Ma nn sijui..
And it shall be stored well kakaHah kwa hili Siri yangu Mimi nawewe
Kaka nialike, nije na ugali😂🤓Kuna jirani yangu sijui ni member wa huu uzi, ikifika hii mida ndio anaanzaga kupika dagaa wa kukaanga wananukia. Sio muislam kwamba anapika daku. Na nyimbo zake boringo za kitambo Loketo Mabele... Samba Ma nn sijui..
na wewe hupo nilipokuacha kuna usalama?
naogopa wenye pesa zao wananiibia