JamiiForums Usiku wa manane

Ana pesa ila sura mwanangu huyo mwanaume ulimkubalia usiku? Kauli ya mama mkwe wa kinyakyusa hapo mwamba umejipinda sebuleni upo kula ndizi nyama na Mahari zako million kadhaa ushatoa(wapo kukujadili chumbani kwao)
 
Sa11 alfajiri niko macho kila siku, 12 niko njiani kwenda mzigoni kwa siku za wiki, 11 jioni narudi maskani siku imeisha maandalizi ya siku nyingine.
Basi ukirudi home kuanzia saa 12 usikae chumbani. Toka nje piga story, kacheki mpira, fanya jogging, soma kitabu, fanya gym.. afu ukitaka kulala let say saa 5 kamili usiku, achana na simu weka labda tu mziki afu iweke pembeni ata kama usingizi hauji USISHIKE SIMU
 
Nitajaribu mkuu, ila kwenye simu hapo kweli, imeninyima sana nidhamu ya muda mzuri wa kulala, lakini mda mwingine naamua kuperuzi ili walau nivute muda kwani usingizi umekataa kuja.
 
Nitajaribu mkuu, ila kwenye simu hapo kweli, imeninyima sana nidhamu ya muda mzuri wa kulala, lakini mda mwingine naamua kuperuzi ili walau nivute muda kwani usingizi umekataa kuja.
Ukishika simu, ukiwa unaangalia TV au unacheki PC kusinzia sahau. Au fanya hivi, unampigia demu wako simu unaweka simu pemben mnakua mnaongea. Apo utasinzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…