JamiiForums Usiku wa manane

Mwanangu, huyu mwanaume ukimsumbua au kumwacha basi utafute wazazi wengine ila siyo sisi...kamweshimu...msikilize kwa kila jambo...akikupiga vumilia mwanangu...mwanaume kuwa na wanawake nje ni Kawaida β€œ (mama mkwe huyo,hapo ujue mwanaume umekamilika kila idara una pesa na mwonekano mzuri)
 
Chai.
 
Unaongelea nini To yeye usiku huu wa manane au upo ndotoni nikuache?
 
To yeye naweza kusoma kwa tune ya kuimba mkuu maana unachoandika hapa naona kabisa kina follow beat hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapo anaongea mbele ya muoaji au wapo chemba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…