Sema kweli.. bwana mi nacheka tu
Hii unaigeuza inakua ya violence tuinaisha kesho tareh 29, ila kama nimeizoea hii tayari nifanyeje
Saa 5 ushalala unajiita mkeshaji
Naenda nae taratibu huyu......ili akitaka kuweka kichwa tu amwage😋hiv kwann usimfungulie miguu mara moja[emoji23][emoji23] da kidoti utaua mtu kwa mawazo
inafurahia huba lako na sameja mahihii kicheko inanicheka mim au unachek tabia za masamejaa
Ya vayolensi nataka iwe ile ile tu Then hii ihubiri habari njema tuHii unaigeuza inakua ya violence tu
Mi mshamba tunakuchukulia hivy hivyo unavyohisi[emoji16]
Naenda nae taratibu huyu......ili akitaka kuweka kichwa tu amwage[emoji39]
inafurahia huba lako na sameja mahi
Vincenzo Jr uko poa?
Yaan nimegundua anapenda mchakamchaka....fanya umchangamshe kidogo bas....hata akikosea jifanye huoni we mpetipeti tu atakaa sawahahahahaha basi akiskia hivi moyo wake unapasuka kwa furaha anataman iwe hata leo usiku
🤣🤣🤣🤣🙌🏿huba limelala yoooo mahi wangu am singo and singula[emoji1787]
Anaogopa wadada hadi kwa maandishi😆anapita kmy kimy hatak kuonekana
Yaan nimegundua anapenda mchakamchaka....fanya umchangamshe kidogo bas....hata akikosea jifanye huoni we mpetipeti tu atakaa sawa