JamiiForums Usiku wa manane

yaaan nimecheka uliposema unakwangua nazi na kijiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. nikajisemea kweli huy hamnazo kabisaa poor yu[emoji23]
Nimetumia UMA weeee kutumia kibao sijui hapana hapana hapana...
Naskia unaweza ota mkia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 

yan umechachuka wew na huyo jirani yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, au kisa unajua siwez kujib mapigo ndio unanifanyia kusudi,,, nyau wew[emoji16][emoji16]
 
Nimetumia UMA weeee kutumia kibao sijui hapana hapana hapana...
Naskia unaweza ota mkia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ulishindwa hata kugugo ni lini utakua na akili wew..... eh kwahiyo umepikaje sas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…