I mean no malice to no bodyI mean no malice to nobody
Mungu ni mwema kila wakatiMungu ni mwema sana
Ukisoma paper za wenzetu waliokwisha fanyia research wanasema kati ya biashara 7 kati ya 10 za joint venture huwa hazidumu baada ya kuanzishwa kwake.Mzee Grahams Leo nime amini kumiliki mradi au biashara Kama familia au ndugu ni kazi nzito.
Sisi Ngozi nyeusi sijui tuna shida gani.
Yaani jitu Lina wi-fi, chakula chochote, mfanyakazi- wa nyumbani.Ukisoma paper za wenzetu waliokwisha fanyia research wanasema kati ya biashara 7 kati ya 10 za joint venture huwa hazidumu baada ya kuanzishwa kwake.
Na kwetu huku Bongoland hali ni mbaya zaidi maana ndugu wengi huwa wana-prefer wauze hizo Mali/biashara ili Kila mmoja afe na chake
Kama tayari umeshaona mwanga kwenye hiyo biashara bora mgawane then wewe uanze from the scratch hata kama utalazimika kwenda Benki kupigwa tafu kwenye Mtaji
Watu wa diplomasia waliingilia kati. there is an extra room for negotiation and improvement at a certain
Nani huyo πππ€£ππYaani jitu Lina wi-fi, chakula chochote, mfanyakazi- wa nyumbani.
Vifurushi vya ving'amuzi ana lipiwa
Bima yake IPO humo humo, safari zake Zina dhaminiwa, bado ana lipwa akiwa nyumbani.
Halafu bado ana kuja kukuchanganya kichwa,
Aisee na Mimi Hilo nime liona, Huku kuji fanya akili kubwa na kuji tolea kupita kiasi, kuta kuja kufanya mtoeane Roho.
Inakulazimu kuwa makini MkuuYaani jitu Lina wi-fi, chakula chochote, mfanyakazi- wa nyumbani.
Vifurushi vya ving'amuzi ana lipiwa
Bima yake IPO humo humo, safari zake Zina dhaminiwa, bado ana lipwa akiwa nyumbani.
Halafu bado ana kuja kukuchanganya kichwa,
Aisee na Mimi Hilo nime liona, Huku kuji fanya akili kubwa na kuji tolea kupita kiasi, kuta kuja kufanya mtoeane Roho.
Nakujaa chaap!!karibu na shisha zipo
Karibu sana mtoto wa kingoniNakujaa chaap!!
Jana nime shangaa Sana, nili wahi jitoa ili nipate stack yangu tu, pasipo kuhusika na chochote.Inakulazimu kuwa makini Mkuu
Kwenye Mali za familia huwachelewi kukutanguliza mavumbini wakikuona kikwazo
Try to handle it carefully, otherwise itabaki historia kwamba you used to own this and that πJana nime shangaa Sana, nili wahi jitoa ili nipate stack yangu tu, pasipo kuhusu ka na chochote.
kurudi najuta hasara kubwa, hakuna anaye elewa kinacho endelea.
yaani numbers zipo, ila ni madeni tu na sito fedha cash.
Ika bidi ni separate majukumu ya kila mmoja, Sasa Jana naletewa ki mtu Eti nacho kiwe sehemu ya mtu.
Plus kina pewa majukumu ya mtu mwingine ambaye ni muhimu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu sana mtoto wa kingoni