Kwahy umekaa kabisa umetype comment yako unasubiri muda ufike ili uipost ikiwa sahihi 😂05:19 AM
Jitokeze bas pleasena nyiee sa mbona mnataka kuwa wazembe hivyo kwahiyo hamnifaham 🙄😳 au mnavunga
Ni nani huyu kanipa na baby kabisa wakati smjui huyo baby nlibaki naduwaaJitokeze bas please
Mi sjakujua kabisana nyiee sa mbona mnataka kuwa wazembe hivyo kwahiyo hamnifaham 🙄😳 au mnavunga
🤣🤣🤣Kumbe nawe?Ni nani huyu kanipa na baby kabisa wakati smjui huyo baby nlibaki naduwaa
Ajesema ye nani eti ibumex🤣🤣🤣Kumbe nawe?
Aisee,new id ni changamoto sanaAkisema eti ibumex
Acha kabisaAisee,new id ni changamoto sana
Id yako mpya inaitwajeAisee,new id ni changamoto sana