Nimeona umesema kule uzi wa kondomuUliona wap nimevaa😁😁😁
Nimekuambia fanyia kazi....Supu ya pweza ndio nini?😂
Sasa mbona umechelewa kuniambia🙄
Subiri nikampige kibutiNimekuambia fanyia kazi....
Sio kweli na umri huu niijue historia ya ephen!!!! 😁😁😁😁Na ni kweli...anakuhitaji Ila wamkatisha tamaa....sema nini kuwa makini na mahusiano ya jf wengi wanakuja ili wajue historia ya maisha yako na wanywee supu ya pweza🥴
Umri kitu gani? Unataka uninywee supu ya pweza tuSio kweli na umri huu niijue historia ya ephen!!!! 😁😁😁😁
Situmii hivyo vitu aseeeUmri kitu gani? Unataka uninywee supu ya pweza tu
Bas kaza hapo....mtoto Hana hata mtoto😉Sio kweli na umri huu niijue historia ya ephen!!!! 😁😁😁😁
Salama kabisa kipenzi, sijui wewe mrembo To yeye 🥰Bantu Lady umeamkaje?
Tajiri huna baya tajiri ishi sana tajiriiiiiSalama kabisa kipenzi, sijui wewe mrembo To yeye [emoji3059]
Mzee wa Kigamboni 🫡 tuko pamoja, mpaka tutolewe manyoya 😅😅😅Tajiri huna baya tajiri ishi sana tajiriiiii
Subiri aje ameenda gym😂🤣🤣🤣Aseme,asemeee🤸🤸
Wa Afya kabisa. Mungu ni mwema. Mamii ephen_ sijui wewe katotoo karembo umeamkaje?Tajiri upo fresh?
🤣🤣🤣 Sitoki hapa🤒Subiri aje ameenda gym😂
Sijala chochote kipenzi, ndiyo nimeahtuka. Mambo ya kuamka alfajiri, unasema najiegesha nusu saa. Lazima kikulambe 🤣🤣🤣🤣🤣Nipo fresh kabisa tajiri! Nimefurahi kukuona hapa ushakula chocolate?