Pole, mi nimekesha leo mpaka sasa usingizi hamnaJana kazini kulikuwa na kazi . Ndio nashituka kuja lindo muda huu yaani kumekucha kabisa 0428
Pole sana0400
Leo popo nipo mwenyewe
Utakeshaje jf kama Upo na mtoto pembeniKwanini
Ndo maanaJana
😂😂😂😂 jana pm yangu ilianza kusumbua
Kuna mahali nilibonyeza sijui ikazinguaMbona jana ghafla ulipotea
Utapigwa ban shauri yakoJana
😂😂😂😂 jana pm yangu ilianza kusumbua
Nna ombi kidogo hapa
We tuache 🤣🤣dozi juu ya dozi😂😂😂😂😂Unanichanganya, kwani wewe ukiwa na Cassnzoba huwa hamkeshi ?
Na kama hamkeshi huwa mnafanya kivumishi au kitenzi gani ?
Sa ngapi huko
🤭🤭🤭Ngoja nitulie usije ukanifanya nikusemee bure shemeji yangWe tuache 🤣🤣dozi juu ya dozi
Taarifa hiyo. Leo mtakuwa wawili si mnaogopanaSa ngapi huko