Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hizo chipsi shingapIlibaki kidogo sana masts nilale njaa. Dk za mwishoni kuna mwana kaokoa jahazi kwa muhamala.
View attachment 3117212
Hizi ndio chips kavu😥Ilibaki kidogo sana masts nilale njaa. Dk za mwishoni kuna mwana kaokoa jahazi kwa muhamala.
View attachment 3117212
Kabisa00:00...
lango kuu
🤔Umewahi lango kuu.basi Leo nipo ghalani amara.00:00...
lango kuu
Kula utakula ila utachelewa tuIlibaki kidogo sana masts nilale njaa. Dk za mwishoni kuna mwana kaokoa jahazi kwa muhamala.
View attachment 3117212
[emoji116]Muda huu saa sita na dakika tano kuna kumbi ama bar zinapiga mzika jirani yangu hapa, wakati wengine tukiwaza na kuwazua wengine wana burudika sio kidogo!
Amesahau mshkakiIlibaki kidogo sana masts nilale njaa. Dk za mwishoni kuna mwana kaokoa jahazi kwa muhamala.
View attachment 3117212
Movie gani ulikuwa unacheki00:10
Nimetoka kuchek movie,,naangusha now