Oyaaa weeh
Shule inaendeleaje
Boss ilikuwa mida ya wanga hiyo😂😂
😂😂😂lindo liko salama chini yako mkuu
Tumejaa tele umemaliza chuo?
TupoMatajiri mko wapi 03:14 am
Nipo mkuu, habari.
Mdogo mdogo tu, vp harakati za maishaShule inaendeleaje
Niko poa kabisa, vp harakati za maisha bossBoss ilikuwa mida ya wanga hiyo😂😂
UKo poa boss?
Hahaa uhakika nikiwepo hatuibiwi kitu😂😂😂lindo liko salama chini yako mkuu
Bado ndio kwanza kumeanza kuchangamka, maisha yanaendaje lakiniTumejaa tele umemaliza chuo?
Salama kabisa vp hali mkuuNipo mkuu, habari.
Tunamshukuru Mola wetu bado anatupambania pamoja na mapungufu yetu mengiNiko poa kabisa, vp harakati za maisha boss
Gud kabisa. Harakati zinaendaje?Salama kabisa vp hali mkuu
Hapana boss ni kuna mkasa ulitokea wakawa wananiita mwanachuo, lakini sioTunamshukuru Mola wetu bado anatupambania pamoja na mapungufu yetu mengi
Nasikia watu wanasema vipi chuo,je unapiga kitabu boss?
Mdogo mdogo tu, karibuni lindoGud kabisa. Harakati zinaendaje?