Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kaka ni pisi hatariWatoto wa Tangaa
Hawana Vipengeleee
Kwenye Msosi Wako vizuri sanaSafi Sana, nili tembelea hapo 2023.
Wana pika vizuri mno, chakula Bei Safi.
Kwa Hali hii tutanunia V8 Kweli? Unaijua V8 ?Endelea kuamini kwenye chama chanma jobless pro max 😂 😁.
Nili kuwa Barabara ya 14 pale si Kuna hotel, mitaa ya masjid qubaa.Kwenye Msosi Wako vizuri sana
Bei zao ni Cheap
Watu wakarimu sana
Mi mtazamo wangu tofauti Sana, gari hapana aisee.Kwa Hali hii tutanunia V8 Kweli? Unaijua V8 ?
Napamanyaaaaaa vyema hapooNili kuwa Barabara ya 14 pale si Kuna hotel, mitaa ya masjid qubaa.
Hili ni wazo zuriiiii sana.Mi mtazamo wangu tofauti Sana, gari hapana aisee.
I just invest hapa na pale,few blocks in the city.
Then safari za hapa na pale ni poa.
Pakali mno, nili wahi kuwa invited na jamaa fulani kuji funza operation ya industry fulani.Napamanyaaaaaa vyema hapoo
KweliiiPakali mno, nili wahi kuwa invited na jamaa fulani kuji funza operation ya industry fulani.
pale Barabara ya mwahako, nahisi Usha elewa.
Naam, pisi nyeupe.Kweliii
Mwahakooo mpaka Mikanjunii
Maji ya Tanga hayana KipengeleeNaam, pisi nyeupe.
hivi Tanga Kuna vyuo vipi na vipi??Maji ya Tanga hayana Kipengelee
Watoto wanajua Kujistiriii
Lafudhi yao Sasa! Ambiwaaaa rangi ya mtume
Kuliko kubeti, nunua matunda uleWeekend Nyingine ya Kumchangia Muhindi Hela ya Ada Kwa Wakamariaaa!
Bora Hela yako Ubeti Kuliko Kuhonga
03:18
Vyuo Kwa kweli kwa Sasa Tanga mjini Baada ya Eckenforde Kuyumba Hakunahivi Tanga Kuna vyuo vipi na vipi??
Lushoto si haipo Tanga mjini??, iko nje ya mjiVyuo Kwa kweli kwa Sasa Tanga mjini Baada ya Eckenforde Kuyumba Hakuna
Japo Kule Kange sijui Kama kile Cha Serikalini Kama Bdo kipo hai.
Tofauti na Hapo ni Korogwe na Lushoto
Haipo Tanga Mjini Ile ni Wilaya NyingineLushoto si haipo Tanga mjini??, iko nje ya mji