Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Sema mi napa kubali Tanga mjini tuHaipo Tanga Mjini Ile ni Wilaya Nyingine
Unatoka Tanga mjini ... Muheza ... Hale ... Segerea ... Korogwe ... Momboo ndo Unapanda juu Lushoto
Kwa kina January wa Makamba
Tanga mjini ni kizuriSema mi napa kubali Tanga mjini tu
Nilipa ona, mfano raskazone nyumba ziko available kununua sehemu nzuri.?Tanga mjini ni kizuri
Ni mji wa utulivu sana
Sema tu mzunguko wa Pesa hakuna
Kule wengi mwamwinyii
YesNilipa ona, mfano raskazone nyumba ziko available kununua sehemu nzuri.?
Yap barabara ya 12 bado IPO, si ndo pale kwa bus za tashrif au??Hiyo Tanga ya 2007 to 2019
Ina chichi Club
Ina Ridochi wa Wachina
Eckenforde University
Eckenforde Teachers College
Stendi Barabara 12
Kijiji Cha 21 Bado kipooo
Kuna Police Mess
Kuna Lavidaa ... kipindi hicho Yanga omary ana Hela kama zote Mtoto mdogo.
Tanga jamani Sasa hivi imepauka!
Jumamosi Tangamano ndo usiseme
Karibu0335
Naam makazi muhimu.Yes
Too available
Kule watu hawana hela
Ukitangaza dau unasepea na mji
By the God's Grace ... ntajenga Tanga nyumba kwa ajili ya mapumziko.
Mkono wa Mungu una vingi vya kutupa pasipo Yeye Kupungukiwa
Barabara ya 12 kwa Sasa ndo stendi wa hiace mfano za kwenda pangani n.kYap barabara ya 12 bado IPO, si ndo pale kwa bus za tashrif au??
Shukran.......usingiz unagoma, sjui ni umri 🤣🤣Karibu
Yap, napa pata. Ndio huwa napandia hapo gari za private.Barabara ya 12 kwa Sasa ndo stendi wa hiace mfano za kwenda pangani n.k
Ndo hapo hapo maeneo hayo kwenye ofisi za Tashirifu
Racto utamkuta Mkwakwani
Wadau wa Kiroho wanasemaShukran.......usingiz unagoma, sjui ni umri 🤣🤣
Hapana White simpati Mh. Rais wa majobless promax.Yap, napa pata. Ndio huwa napandia hapo gari za private.
Kwa white sijui Kama una mpata.
Mwezi wa ngapi kaka??Hapana White simpati Mh. Rais wa majobless promax.
Mwaka huu ntajitahidi niende Tanga kusabahiii
Hata kwa ungo ntaenda
Feels great, when someone wishes you good luck .Rais wa majobless promax ... LINDO JEMA
Acha niingie maombi ... niweke na simu chaji
Stay blessed Mr. President wa majobless promax