Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaNikiolewa nafuu yako wewe ni Mungu wakupangia watu maisha yao wewe ukiishi next day uniite mshamba nimekaa pale
Utake usitake, ndoa iko pale pale. Na utambue tu mapema mwaka huu haupiti nitamuoa huyu mwanamke.Ukiolewa uje uniite mshamba nimekaa pale👉🏾
Babu kumbe ukilewa mapenzi unaongea kiingerezaSorry Babe, i was asleep 💤😴
Usicheze hata kidogo na penzi jipya. Yaani unaona makopa kopa tu ❤️💗💓💞💕💝💖 🥰Babu kumbe ukilewa mapenzi unaongea kiingereza
Nzuri! Niitie mshamba_hachekwi aje kuniamkia.
Ngoja nimuite itakuwa now yupo kwenye kijiwe cha pombe ya mbege kitaani kwao oyaa mshamba_hachekwi njoo huku mwanetuNzuri! Niitie mshamba_hachekwi aje kuniamkia.
Ulitaka mwenzako anizalishe anikimbie k7wa na akili usipende kumpangilia mtu maisha yake na humjui mnakaa kikao eti mimi wa kuzalishwa na mkaende kuoa kwingine acheni upuuzi maisha yangu si yenu kama kuolewa wewe sio mungu . Halafu jf ni nyie tu mnastress za maishaHuyu anachagua sana
Mtabibu wangu huyoo I LOVE U Zali la MentaliUtake usitake, ndoa iko pale pale. Na utambue tu mapema mwaka huu haupiti nitamuoa huyu mwanamke.
Nzuri sana Vincenzo .Yule baba wa bukinafaso kaja?
Naskia anaenda kwenye mkutano pale postaNzuri sana Vincenzo .Yule baba wa bukinafaso kaja?
Nakuuliza kaja nchini?Naskia anaenda kwenye mkutano pale posta
Bado mpenzi wangu 😎😍😘Nakuuliza kaja nchini?
Good uwe na nidham hiyo hiyo .unaona inavyopendeza?Bado mama mdogo.
Nimefurahi! mnapendezanaGood! Asante mpenzi wangu😍
Nisamehe sana ndugu yangu, ni kweli kwamba nakuonea sana, nimekugeuza mnyonge wangu.Ulitaka mwenzako anizalishe anikimbie k7wa na akili usipende kumpangilia mtu maisha yake na humjui mnakaa kikao eti mimi wa kuzalishwa na mkaende kuoa kwingine acheni upuuzi maisha yangu si yenu kama kuolewa wewe sio mungu . Halafu jf ni nyie tu mnastress za maisha
Kuamkia LITOTO LIZURI ni uzembe wa kujinyima riziki.Nzuri! Niitie mshamba_hachekwi aje kuniamkia.
Wewe hupendi mabonge nyanyaKuamkia LITOTO LIZURI ni uzembe wa kujinyima riziki.