Ha ha ha ha sawaa
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha tecno werevaaLeo sim yako imekua Iphone7 haya bwana..
Nishapoa. Ndo kama hivi jamiiforum inatuliwaza.Pole sana
Ha ha ha ha tecno werevaa
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Sikuchelewa mkuu ila nilichoka kama mjinga hahahaDA hayupo leo jana inawezekana alichelewa pindi leo
hataki kurudia kosa
Ha ha ha nimeshafukia kuleeVp lakini lile kaburi nililofukua ushalitarua au bado..
Shunie Mekumithiii sana sijui ulipotelea wapi jamani [emoji85]Ney [emoji10][emoji10][emoji10][emoji10][emoji10]
Ha ha ha nimeshafukia kulee
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Mekumithii pia Ney wangu nilijiteka mwenyewe [emoji85] [emoji85] [emoji85]Shunie Mekumithiii sana sijui ulipotelea wapi jamani [emoji85]
Kwa nini jaman unalala mida hiyoPole sana..Mm nidhazoea kulala saa Kumi
Nimejaribu kulala nimeshindwa banahpoa
bas ulale salama
ngoja niendelee kukuandalia movies zako hapa
Oow kumbe Leo zamu yetu eeh.Lete story mamii naona tupo wawili tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mekumithii pia Ney wangu nilijiteka mwenyewe [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kwa nini jaman unalala mida hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha tu jaman anko magu alegeze kidogo mpaka watu tunajiteka wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana kwakutokujitambua kama ni wewe [emoji26]
Oow kumbe Leo zamu yetu eeh.
Haya story ya Jana iliishia wapi niendelee
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app
Pole sana hata ukijilazimisha kulala mapema inashindikana kwani hauna babe huko mbembelezaneMwili ushazoea wenyewe na hua sinpat mpaka saa kumi
jaman, nimeshtuka hapa usingizini, napapasa kuona kama kuna papuchi kumbe nipo peke yangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana kwakutokujitambua kama ni wewe [emoji26]