Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dogo hapo chini kabamba mbaya
Daaaah kuna mdhungu aliwahi kuniambia maneno yanayofanana na hayo hukohuko kwao nilipobahatika kufika kwa ziara ya kwaya ya kanisaHahahahahaaaaaaa...
Ngoja nifunge mdomo.
Dadadek.....Dah!!!
Jamaniiii....hebu Nipe hiyo original niione maana nilishaanza lowa
Nilishatumiwa.Dadadek.....
ahaaa kumbe we unapenda kubwa kubwa..Dah!!!
Jamaniiii....hebu Nipe hiyo original niione maana nilishaanza lowa
Sanaaaahaaa kumbe we unapenda kubwa kubwa..
Khaaa acha masikhara mkuu,unataka kunitunuku nini?Sanaaa
Unayo?
Sikupi.Khaaa acha masikhara mkuu,unataka kunitunuku nini?
Afu mbona leo nna bahati sana!
Mkuu nakubaliana na ww kabisa...Kwanza, nimpongeze huyu ndugu yake Goliath (mfirist) kwa ubunifu wa kipekee ambao ulizaa uzi huu.
Pili, naona uzi huu unaanza kupoteza maana, kwani kuna picha zinawekwa hazihitaji kabisa video assistant referee maana ziko wazi.
Ili uzi huu umaintain hadhi yake tujitahidi kuweka picha ambazo zinahitaji var than hizo ambazo hata refa wa kijiji anaweka mpira kati.
Ni hayo tu kwa leo
Ipo kwa kiase chake lakiniSikupi.
Nakuuliza
Pole sana.Ipo kwa kiase chake lakini
Unajua nimewaza mbaliiii,si unajua kichwa kidogo kilivyo na kiherehere...hahaaaaa haaaa
Na kuna mwenzake mmoja nimemsahau jina. Hawa wengine wababaishaji tu. Waache, wasilazimishe.Huu uzi anauwezea mfilisti tu