JamiiForums wakitoa ofa ya kumpa ban mtu mmoja, utamban nani?

JamiiForums wakitoa ofa ya kumpa ban mtu mmoja, utamban nani?

TEACHER: Students, what is Chit-chat?

STUDENTS: Chit-chat is an inconsequential conversation.

TEACHER: Very good....How do you feel when your foe get banned?

STUDENTS: We always feel bad

TEACHER: Why?

STUDENTS: Because a good day must have dark and bright sides,....so does our crowd,...for it to be better must have many friends and foes.

TEACHER: Excellent 100%
 
mi nawachukia sana madume wenye id za kike

miss natafuta
mw...
nahakikisha hawaludi humu
 
bitoz.
huyu jamaa namuonea jilaz sana na makapuku forum yake!
yaana ningempiga hata abadili jina vipi anakutana na ban.yaani akitaka kufungua jf tu au akitaka kuingia na user ya mwingine igome.hata akiangalia icon ya jf ipotelee hapo machoni kwake.sitaki ujinga kbs
 
Huwezi amini tangu jana naumiza kichwa nimtaje nan wa kupewa BAN nimekosa[emoji1] [emoji23]
Kama itakuwa na umuhimu zaidi wa mtu mmoja Lazima apigwe ban nitajitaja mimi mwenyewe, sababu nauona umuhimu wa kila mtu katika nafasi yake 'peace n lov'
 
Back
Top Bottom