bitoz.
huyu jamaa namuonea jilaz sana na makapuku forum yake!
yaana ningempiga hata abadili jina vipi anakutana na ban.yaani akitaka kufungua jf tu au akitaka kuingia na user ya mwingine igome.hata akiangalia icon ya jf ipotelee hapo machoni kwake.sitaki ujinga kbs
Huwezi amini tangu jana naumiza kichwa nimtaje nan wa kupewa BAN nimekosa[emoji1] [emoji23]
Kama itakuwa na umuhimu zaidi wa mtu mmoja Lazima apigwe ban nitajitaja mimi mwenyewe, sababu nauona umuhimu wa kila mtu katika nafasi yake 'peace n lov'