JamiiForums wakitoa ofa ya kumpa ban mtu mmoja, utamban nani?

SIWAPENDI WATU WANAOTAKA UBISHANI WAKATI FACT ZIPO TENA NI WAJINGA WAJINGA SANA HUMU JAMIIFORUMS WENGINE WANABISHIA UWEPO WA MUNGU HAWA NDIO WAKUTIA BAN KABISAA WANAVICHWA VIGUMU ZAIDI YA TOFALI
Unakusudia akina Kiranga[emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Dah watu tuna roho mbaya...,
Shetani husingiziwa tu, lakini sisi binaadamu ndio wenye kufanya mabaya yote. Hao waliotajwa kama wana mioyo mepesi sijui watachukua hatua gani? Babu yangu aliniambia ukiwa na maaduwi wengi ujuwe una rafiki wengi siku wasiokuona watahangaika wajuwe upo wapi.
 
Lizaboni, ningemfata PM mod nimbembeleze aniongezee ban nyingine nimpige faiza fox. mfyuuuuuuuu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…