JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Mmeshanyanduana?maana hatukawii kuona ID mpya,mara Jamaa ni tako 2,Jamaa nae adai kakuta bwawa.Hakikisheni vitu hivyo vya msingi kwanza acheni mihemko.
 
Una viganja vizuri....... Hizi ahadi zako hizi mmmmh. Anyway kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…