Do something daddyBado weweee 🔥🔥🔥🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Somo murua kabisa hili.Ugomvi wa sebuleni usihamishie kitandani ni hayo kutoka kwangu[emoji12]
Tugaie na wewe hata kama ni matukio kwa picha 😀😀Huyo mwenyewe katupa taarifa tu, ila mwaliko hajatupa 😅
Mbona mna MPA makavu live....Wewe hakuna ndoa ya miezi miwili acha kujistress bwana...Kama unampenda sana we chill tu Kabla ya November atakuja hapa na script
MC Cocastic Kama garabiii vileHongeraaa sanaa uduguuu kwa kupata ubavu wako.
MC nipo hapaaaa bureee kabisaa kuchachua na kunogeshaa harusiii. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntatoa mwaliko kwa members kadhaa, waje kuwa mashuhudaTugaie na wewe hata kama ni matukio kwa picha 😀😀
Sawa, msijaliKwa Yesu hakuna kuwahi wala kuchelewa🙏.
Usiache kutuombea bro🙏
Asante.Na kapicha ka six packs za shemela ukatupia!
Hongera mwaya. Love is a beautiful thing, all the best. Fukia makaburi ya wagweno na usiyakumbuke tena, chapa lapa, pendwa upendeke. Halafu wanaume wanaovaa mashati ya vitenge huwa wanajua kupenda kweli kweli!
Im too inlove to argue mkuu🙏.I'm convinced there is something fishy going on...
Wewe ni member wa muda mrefu wa JF kwaiyo hii ID unayotumia sasahivi ni ya mchongo kwa sababu unazozijua wewe mwenyewe...
Parody wote wana sifa zinazofanana..mojawapo ni kuweka picha za mademu wenye shape nzuri katika dp zao.. lengo linajulikana hakuna haja ya kulizungumzia!
Threads zako zote ulizoanzisha haraka haraka, na namna ulivyojitambulisha wewe na mambo yaliyokukuta katika maisha yako.. hii story yako ya ndoa tarajiwa ya ghafla ghafla ina % chache sana ya kuwa kweli.. otherwise ni watu tofauti tofauti huwa wanatumia ID yako hii kuanzisha uzi.. dots hazi connect!
All in all una uandishi mzuri nakupa maua yako [emoji257][emoji253][emoji272] ila jitahidi kupangilia mada (threads) katika mtiririko ambao hautasanua watu kuwa wewe ni muongo mzuri (good liar).
Nawasilisha.