JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Hahahaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani ujanja wote kama sungura ila kupika ni zero...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe bado huja qualifie kuitwa wife material... Nahisi kuna mengi huyajui pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uliza kwanza kupika nini[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
I thought if you would be the panties you will live next to what you wanted to peep through them🤣.

I fart not🤣
You are so mean to me😊
check me pm nikwambie kitu bas like seriously 😒
 
Hongera sana,mambo imechemkaaa.
Waoaji ndio hao sasa,hakuna mbambamba,kila la kheri.
 
duuh sio kwa mihemko ya namna hii.. hii inaogopesha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…