JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Me nishaagiza mdori mshangazi kutoka kwa Eloni Masikio.
Kwa picha nilizonazo ni mishangazi kweli kweli shepu na kalio la kwenda na wamelijaza milio mingiii.
Hao wanawake wenye ndevu na waraza R.I.P kubwa kwao.
hahaha nimewaza pia kununua mdoli dah natumaini yatakuwa na joto zuri maana hawa mademu wana joto kali
 
Nilikua busy sana hizi siku mbili tatu, naingia tu hapa naona mada mtu anaolewa. Nikajua atakua cute wife, kuangalia vizuri I'd kumbe sio wewe nikaona wacha nitoe tahadhali
[emoji1787]
 
a
haha 😀 mbususu zipo kwa ajili ya vijana barobaro
sisi wazee ukipiga kimoja unalala siku nzima.

hizo mbususu kuwa makini kina ngoma mzee😊
Unatia aibu jombaa🤣
Mi game zangu za kibabe vijana sharobaro wakasomee 😬.

Halafu mi mara ya mwisho kuogopa ukimwi ni enzi niko na 62 yrs🤣
Kwa sasa kitu pekee naogopa ni kukosa hela ya mkongo tu basi 🤣.
K
 
nimtese kwa nini ?
natafut mchepuko mmoja wa kula nae maisha. Amsadie majukumu mke wenzie sasa wewe unambania wakati ushamchosha dada wa watu😀
Nahisi kama bado nampenda🤣.
 
Mwenyekiti nipo hapa dada sasa dada ila naona kama mapema sana mdogo wetu kufanya maamuzi ila tunawatakia kila la kheri kwenye mahusiano yao wafike mbali zaidi shetani asiingie kati
Asante mwaya,🙏.
Kwa Yesu hakuna kuwahi wala kuchelewa.
Tuweke tu kwenye maombi🙏
 
Back
Top Bottom