JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

So you really believe I pee while standing?🤣
Thought you are smart🤣🤣.
I was only playing.
You first believed Im a beast now you think Im a dude🤣
I like the fact you are beast it works for me
you have a very stoned heart defined a dude😀
 
Na kapicha ka six packs za shemela ukatupia!
Hongera mwaya. Love is a beautiful thing, all the best. Fukia makaburi ya wagweno na usiyakumbuke tena, chapa lapa, pendwa upendeke. Halafu wanaume wanaovaa mashati ya vitenge huwa wanajua kupenda kweli kweli!
Natafuta mwanaume anaevaa mashati ya vitenge jamani lol

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
So I am not sweet no more?[emoji850]

You are just not capable of love [emoji3]
Ivi yule Dada aliekua shemeji yako akafiwa na jamaa yake na ukatoa taarifa siku si nyingi zilizopita sio uyu kweli
 
Ivi yule Dada aliekua shemeji yako akafiwa na jamaa yake na ukatoa taarifa siku si nyingi zilizopita sio uyu kweli
sio huyu kabisa yule nafahamiana nae. Huyu hata pm sijawah zungumza nae. Tho ni mshikaji wangu huku kwenye thread sasa haifai kuchat huku sana nikamuomba aje tupoteze mda pm ila ni girl flan hivi anawaza amatongpzwa mda wote cha ajab hana mume wala boyfriend? 🤣
 
sio huyu kabisa yule nafahamiana nae. Huyu hata pm sijawah zungumza nae. Tho ni mshikaji wangu huku kwenye thread sasa haifai kuchat huku sana nikamuomba aje tupoteze mda pm ila ni girl flan hivi anawaza amatongpzwa mda wote cha ajab hana mume wala boyfriend? [emoji1787]
Ha ha ha ha ha ha basi mpige sounds huez jua bana ukapewa Tam tam
 
sio huyu kabisa yule nafahamiana nae. Huyu hata pm sijawah zungumza nae. Tho ni mshikaji wangu huku kwenye thread sasa haifai kuchat huku sana nikamuomba aje tupoteze mda pm ila ni girl flan hivi anawaza amatongpzwa mda wote cha ajab hana mume wala boyfriend? 🤣
Tatizo wewe ni ropo ropo sana🤣.
Kufikia kuzoeana PM na mtu kama wewe ni huge risk.🤣.
Siku ukiniona PM kwako ujue unaota😬.
 
Umesema ana ofisi ? huyo si fundi cherehani!

" zangu, mwanaume Mcha Mungu, msomi, mwenye ofisi zake kubwa kubwa, handsome, mpole ila mkali kwenye upuuzi, asiyependa wanawake wengi na mwenye mapenzi kama kapewa limbwata, hatoki kokote zaidi ya Mbinguni kwa baba Mungu, Mungu wa ishara na miujiza. Mgweno anisamehe ila naamini huyu ndie niliumbwa toka ubavuni mwake❤️."


Umepata kitu chema kama ana sifa hizo
 
So I am not sweet no more?🤐

You are just not capable of love 😀
Yes.You are not sweet😬
You are bitter, rude and disrespectful😃.

My Mlokole knows that Im capable of love and that's what matters🙏😬
 
Back
Top Bottom