JamiiForums yaendesha Mafunzo kwa Maafisa Mawasiliano wa Vitengo vya Serikali pamoja na TAKUKURU

JamiiForums yaendesha Mafunzo kwa Maafisa Mawasiliano wa Vitengo vya Serikali pamoja na TAKUKURU

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Mei 16 na 17 2024, JamiiForums iliendesha mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Mawasiliano wa Mikoa pamoja na Maafisa wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) yakilenga kuwajengea Uwezo katika nyanja mbalimbali ikiwemo Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Usalama Mtandaoni

Pia, mafunzo hayo yalihusisha namna ya Utengenezaji Maudhui ya Kimkakati Mtandaoni. Mafunzo haya ni muendelezo wa ushirikiano baina ya TAKUKURU na JF pamoja na kuongeza ufanisi katika ushirikishwaji wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa na Ubadhirifu wa Rasilimali za Umma.

TRAIN PCCB (1).jpg
TRAIN PCCB (2).jpg
TRAIN PCCB (3).jpg
TRAIN PCCB (4).jpg
TRAIN PCCB (5).jpg
TRAIN PCCB (6).jpg
TRAIN PCCB (7).jpg
TRAIN PCCB (8).jpg
TRAIN PCCB (9).jpg
TRAIN PCCB (10).jpg
 
Back
Top Bottom