Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!