JAMVI LA WANAWAKE: Baada ya kumuoa anataka wawe wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, afanyaje?

JAMVI LA WANAWAKE: Baada ya kumuoa anataka wawe wanafanya mapenzi kinyume na maumbile, afanyaje?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.

Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.

Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!

Stressed newlywed.jpg
 
Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.

Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.

Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!

View attachment 3237530
 
Sio kila dhambi ni lazima ushiriki.. amsemee kwa mshenga wake
Amchane mshkaji kwamba sio muumini wa huo uchafu, siku hizi hawa washenga na wazee wakubwa hawana staha sana ya kuhandle vitu kistaarabu unaweza mueleza vizuri tu yeye akaja kufungulia thread humu pia yawezekana sio ndoa iliyofuata protocol zote huenda waliokotana makazini wanaendelea kuishi huku wanaangalia namna ya kurasimisha
 
Haha Theresa49 bhana unanifurahisha(ga) na mada zako 😀
Hilo jamvi la wanawake unalipenda sana, halijachanika tu nikuagizie la wanaume
but of course iko wazi kama ya mbuzi
KULA NDOGO NI UFIRAUNI NA USHETANI
-Ni hatari kwa afya yako
-Unahatarisha unyeo na ujambaji
-Msusie mbususu aichakate atakavyo kinyeo sikushauri mshangazi wa maana kabisa wewe
 
Amchane mshkaji kwamba sio muumini wa huo uchafu, siku hizi hawa washenga na wazee wakubwa hawana staha sana ya kuhandle vitu kistaarabu unaweza mueleza vizuri tu yeye akaja kufungulia thread humu pia yawezekana sio ndoa iliyofuata protocol zote huenda waliokotana makazini wanaendelea kuishi huku wanaangalia namna ya kurasimisha
Nimecheka.. kwamba washenga nao friji hazigandishi.

Yawezekana kamwambia jamaa bado hamuelewi.. au amsemee kwa baba yake 🤣
 
Yeye ana 23, jamaa ana ngapi?

Aanze yeye kukaa chini, aelewe kwanza anachoambiwa kufanya, afanye upembuzi wa side effects kama zipo...baada hapo;
  • Kama ameingia kwenye ndoa rasmi ya kidini/kiimani, basi achunguze kwenye dini yake wanasemaje kuhusu hilo swala.
  • Jamii yake, ina muelekeo gani kuhusu hilo, lazima kuna wamama watu wazima ambao ni wa kabila, ukoo na hata jamii iliyomzunguka, azungumze naye kana kwamba yeye ndo anawaza kufanya hivyo ili kumdhibiti mume, atapewa a,b,c tu.

Atakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sasa kiimani, kijamii na nafsi yake, kuona afanye nini!

Mwisho, za kuambiwa achanganye na zake baada ya kupata maarifa hayo.
 
Haha Theresa49 bhana unanifurahisha(ga) na mada zako 😀
Hilo jamvi la wanawake unalipenda sana, halijachanika tu nikuagizie la wanaume
but of course iko wazi kama ya mbuzi
KULA NDOGO NI UFIRAUNI NA USHETANI
-Ni hatari kwa afya yako
-Unahatarisha unyeo na ujambaji
-Msusie mbususu aichakate atakavyo kinyeo sikushauri mshangazi wa maana kabisa wewe
Acha tu, mimi ni mama wa ushauri nasaha. Huwa naletewa visa huko mtaani nachoka kabisa na wakati mwingine naingiwa uoga dhidi ya binadamu. Visa vingine ndiyo hivi, nawaletea na nyinyi humu JF mchangie mawazo 🙃

Jamvi haliwezi kuchanika, ndiyo mahali pa kuanzisha mazungumzo.
 
Back
Top Bottom