Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nahisi uongozi wa jamii forums huwa unavutiwa sana na mada za aina hii, kuliko hata zile mada za Wananchi kuikosoa serikali isiyo jielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf hatufanyagi dhambi ntake radhiwe unapeanaga 😎
Wawili chumbani mkishindwana hamna mwingine ataweza kuwaweka pamoja nje na hapo mtaishia kudhhalilishanaNimecheka.. kwamba washenga nao friji hazigandishi.
Yawezekana kamwambia jamaa bado hamuelewi.. au amsemee kwa baba yake 🤣
Mimi sipendi na sitaki kabisa! Ikitokea nikakutana na mtu anapenda nitamuacha mda huo huo.Basi jf mtajifanyaga hampeanagi yas.... Acheni uongo!!!!!
So far I'm proud of you elimisha hawa wajinga wanaotuita mbwa halafu ikifika visikukuu vya kijinga kama valentine wanataka giftsAcha tu, mimi ni mama wa ushauri nasaha. Huwa naletewa visa huko mtaani nachoka kabisa na wakati mwingine naingiwa uoga dhidi ya binadamu. Visa vingine ndiyo hivi, nawaletea na nyinyi humu JF mchangie mawazo
Jamvi haliwezi kuchanika, ndiyo mahali pa kuanzisha mazungumzo.
Asikubali huo ushetani. Huyo mume tayari ana wahuni wanaompa anayotaka. Ashikilie msinamo wake. Yeye ni mke. Sio mhuni. Full stop atakuheshimu. Labda alisikia kwa wahuni wengine kuwa unatoa. Kama sivyo afadhali ndoa iishe kwa sababu hiyo. Hajielewi bado. Shida vijana wengi wameingia ktk mtego huu. Hasa wasichana kwa kuogopa kupata uja uzito.Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530
nakutaka radhi, nice! Kumbe unajua hatufanyagi dhambi basi usitoe false accusations kuwa "tunajifanyaga hatufanyi mambo ya yas"Jf hatufanyagi dhambi ntake radhi
Asante sana Ndalilo, ushauri utamfikia.Yeye ana 23, jamaa ana ngapi?
Aanze yeye kukaa chini, aelewe kwanza anachoambiwa kufanya, afanye upembuzi wa side effects kama zipo...baada hapo;
- Kama ameingia kwenye ndoa rasmi ya kidini/kiimani, basi achunguze kwenye dini yake wanasemaje kuhusu hilo swala.
- Jamii yake, ina muelekeo gani kuhusu hilo, lazima kuna wamama watu wazima ambao ni wa kabila, ukoo na hata jamii iliyomzunguka, azungumze naye kana kwamba yeye ndo anawaza kufanya hivyo ili kumdhibiti mume, atapewa a,b,c tu.
Atakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sasa kiimani, kijamii na nafsi yake, kuona afanye nini!
Mwisho, za kuambiwa achanganye na zake baada ya kupata maarifa hayo.
Ana options mbili, ampe au aombe talaka. Muulize kati ya hizo lipi ni rahisi zaidi kulifanya?Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530
Sawa sawa… we will marry our best friendsWawili chumbani mkishindwana hamna mwingine ataweza kuwaweka pamoja nje na hapo mtaishia kudhhalilishana
Uko wapi mkuu!!! 😄😁Basi jf mtajifanyaga hampeanagi yas.... Acheni uongo!!!!!
Mada za wananchi ni muhimu sana na kila mtu anapaswa kushiriki kwa namna moja au nyingine huko mtaani na pia JamiiForums kama sehemu ya kuexercise civic duties zake.Nahisi uongozi wa jamii forums huwa unavutiwa sana na mada za aina hii, kuliko hata zile mada za Wananchi kuikosoa serikali isiyo jielewa.
Asante kwa Reply Dede,Kichwa cha uzi kinasema Jamvi la wanawake nashangaa kuona wanaume ndo wa kwanza kuchangia.