Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Kweli Wala usichekeNipe namba yake nimsaidie mbinu ya kisayansi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Wala usichekeNipe namba yake nimsaidie mbinu ya kisayansi
HapanaWe unatoa!!?
TutaaminijeHapana
Ntaweka picha kwa faida ya membersTutaaminije
Awashirikishe wadhamini wake wa ndoa na Mungu atamsimamia,endapo hakutumia kumshawisi kwa kumpa tendo hilo ili aolewe.usaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
Aondoke hapo hapamfai, hamna haja kuendelea hapo, ataumizwa na ataachwa, na atajuta sana, huyo sio mtu, mbona Mume hajawaza ndoa changa? Amka la kama hutaki ilee ndoa iwe kubwa kwa kuharibiwa uone siku ukiachwa ndo itakuwa ndoa kubwa uone kama Kuna mtu atakutaka na Kila kitu kikitoka bila breki, Dada hapo hakuna Mume ondoka Wala si suala la kupeleka kwa wazazi, wazazi utawajulisha tu kwa nini umeondoka na hata wakisuluhisha usikubali hapo mtu hamna.Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530
Kamba baba yake ni member si ndiyo atamwambia mambo yenu ya chumbani elewaneni wenyewe hayo wengi huyafanya lakini hawayavujishi nje.Nimecheka.. kwamba washenga nao friji hazigandishi.
Yawezekana kamwambia jamaa bado hamuelewi.. au amsemee kwa baba yake 🤣
usipokemea dhambi katika wakati muafaka baadae inakua ni haki,Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530

Hii nchi iuzwe tupewe kila mtu chake tukatafute maisha ughaibuniBasi jf mtajifanyaga hampeanagi yas.... Acheni uongo!!!!!
Hatareee hyo ..Kiongozi, mambo yanasikitisha tu 🙃
Vipi wewe unapenda nyasiBasi jf mtajifanyaga hampeanagi yas.... Acheni uongo!!!!!
VodaVipi wewe unapenda nyasi
Inaonbwaje
Naunga mkono hoja, na wanaopinga wanyongwe 😁Hii nchi iuzwe tupewe kila mtu chake tukatafute maisha ughaibuni
Aya buanaVoda
Wewe ni keKichwa cha uzi kinasema Jamvi la wanawake nashangaa kuona wanaume ndo wa kwanza kuchangia.
Makubaliano yao ya awali yalikua yanataka nini?Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530