Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
Mshangazi dot com nimemiss jina lako tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh 4 minutes toka nimechange na umenotice tayari 😂🤣🤣Mshangazi dot com nimemiss jina lako tayari
🙇🙇🙇Basi jf mtajifanya hampeanagi yas.... Acheni uongo!!!!!
Hahaha mshangazi wa maana lazima ninotice 😎Duuh 4 minutes toka nimechange na umenotice tayari
Wala sio uongo chief.Hivi mume kama kweli unampenda mkeo unaanzaje kufikiri kumharibu namna hiyo, sijui kwa nini naamini ukimfanya mwenzako namna hiyo humpendi...
Akikubali, (day one), inamaana itakuwa ni mwendelezo siyo jukwaa langu ila nimeguswa sana na hii mada, pendekezo langu ashirikishe mshenga na watu wa dini Kwa maana hili halifaiNimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530
Ni nature ya jinsia Me, iwe kwetu binadamu au wanyama. Hata akipewa mwanamke wa ndoto zake, baada ya muda atatoka tu nje.Nifafanulie kidogo, yani kutoka nje ya ndoa ni sehemu ya uanaume wenu au ni tabia tu ya baadhi yenu?
Basi sawa kama ndiyo hivyo!Ni nature ya jinsia Me, iwe kwetu binadamu au wanyama. Hata akipewa mwanamke wa ndoto zake, baada ya muda atatoka tu nje.
Wewe sema kweli siungetoa tu yas shida nnNgoja nikuambie kitu .
Wanaume wakishaona umetumika wanaomba .
Kama uke ni mkubwa au hauridhishi ataomba huko ilinaridhike .
Jingine kuna wanaume hawawezi kuishi bila kufumua watu marinda awe anakubwa au ndogo so hujui lakufanya.
Mwambie aondoke tu wala asisubirie kufa . Tigo ni kifo . Sio kuharibiwa tu mwambie achane na hiyo ndoa mie nilishaacha mtu kwa ajili hiyoo.
Sitaki uchokozi nyie ni mastermindersWewe sema kweli siungetoa tu yas shida nn
Tukiwaambia mabinti wa Bara hacha kukimbilia kuolewa Zenji nyie huh amtuelewiNimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki tendo alijifanya kama kakosea na kutaka kumuingilia kinyume, alivyoona binti hatoi ushirikiano hakuendelea ila siku inayofuata akamwambia live kwamba atafurahi zaidi akiwa anampa unyumba pia ampe Yas.
Binti yuko njia panda, ndoa bado changa sana, hataki kupeleka hili tatizo kwa wazazi maana ni aibu ila pia anahofia asipomkubalia mumewe ataenda kutafuta anachokikosa kwa mtu mwingine.
Tusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
View attachment 3237530
Ampige kofi la maana, hizo nyege za kipumbavu zitaishaTusaidiane kumshauri (kwa hekima na siyo kumkebehi, kumchamba au kuandika maneno yasiyofaa ya kumdhihaki) nitamtumia replies zenu!
Mambo ya ndoa yangu yanahusisna vipAsikubali kubomolewa marinda,mme akiendelea kulazimisha jambo lifike kwa mshenga,viongoz wa dini na wazazi
Hahaha hahahha yan yas unaaacha ndoa na ulikula kiapo raha na shidaSitaki uchokozi nyie ni masterminders
Dexta hujapiga valentineHahaha hahahha yan yas unaaacha ndoa na ulikula kiapo raha na shida