Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Ushauri gani ulipewa na mzazi, iwe ni baba au mama, ukaufuata na umekusaidia kufika mpaka hapo ulipo?
Naanza:
“Atayekulisha ni mwema, ila utampa pia uwezo wa kukulaza njaa wakati wowote atakapoamua - jishughulishe na hakikisha hauwi tegemezi”. Ushauri kutoka kwa baba yangu (Mungu amrehemu), alikua anatupa huu ujumbe mara kwa mara. Zaidi ya hapo, niliona namna mzee alikua anasapoti shughuli za mama, kielimu wakati anajiendeleza na elimu ya juu na kwenye utafutaji wake wa ziada kibiashara. Wote walikua wafanyakazi waajiriwa, mzee alibeba majukumu mengi ya kifamilia, ila mama pia alikua na uhuru wake kiuchumi. Baba alipotangulia mbele za haki, mama alisimama na familia bila kuyumba.
Ushauri wa mzee, ulinisaidia sana kuwa na mentality ya kujitafutia changu na si kumtegemea mtu. Mambo mengi nimeyaepuka sababu ya hili.
Ladies, share upande wako tujifunze.
Gents, leo tunawakaribisha pia Jamvini.
CC:
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆ Ms Billionaire
Sister Abigail ⋆ Bantu Lady
realMamy ⋆ Qashy Lilith
Atoto ⋆ Niwaheri
Lamomy ⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
Demi ⋆ ledada
Midekoo ⋆ Carleen
ABJ magwamaka
Numbisa ⋆ Mrs Byesige ⋆ Kelsea
Lily Tony ⋆ cocastic
Nuzulati ⋆ rubii
Mama Mwana⋆ SweetyCandy
Ellerie Bexley
Naanza:
“Atayekulisha ni mwema, ila utampa pia uwezo wa kukulaza njaa wakati wowote atakapoamua - jishughulishe na hakikisha hauwi tegemezi”. Ushauri kutoka kwa baba yangu (Mungu amrehemu), alikua anatupa huu ujumbe mara kwa mara. Zaidi ya hapo, niliona namna mzee alikua anasapoti shughuli za mama, kielimu wakati anajiendeleza na elimu ya juu na kwenye utafutaji wake wa ziada kibiashara. Wote walikua wafanyakazi waajiriwa, mzee alibeba majukumu mengi ya kifamilia, ila mama pia alikua na uhuru wake kiuchumi. Baba alipotangulia mbele za haki, mama alisimama na familia bila kuyumba.
Ushauri wa mzee, ulinisaidia sana kuwa na mentality ya kujitafutia changu na si kumtegemea mtu. Mambo mengi nimeyaepuka sababu ya hili.
Ladies, share upande wako tujifunze.
Gents, leo tunawakaribisha pia Jamvini.
CC:
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Leejay49 ⋆ Ms Billionaire
Sister Abigail ⋆ Bantu Lady
realMamy ⋆ Qashy Lilith
Atoto ⋆ Niwaheri
Lamomy ⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
Demi ⋆ ledada
Midekoo ⋆ Carleen
ABJ magwamaka
Numbisa ⋆ Mrs Byesige ⋆ Kelsea
Lily Tony ⋆ cocastic
Nuzulati ⋆ rubii
Mama Mwana⋆ SweetyCandy
Ellerie Bexley