JAMVI LA WANAWAKE: Nini kinakufanya upoteze hamu au msisimko wa kukutana na mweza wako kimwili?

JAMVI LA WANAWAKE: Nini kinakufanya upoteze hamu au msisimko wa kukutana na mweza wako kimwili?

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Ladies njooni tubadilishane uzoefu kidogo, wewe nini kimeshawahi kukukata au kukupunguzia msisimko? (kwenye mahusiano yako ya sasa au yaliyopita)

Baadhi ya mambo ambayo nimekua nayasikia mara kwa mara ni:-
  • Mwanaume kutokua mbunifu, kila siku style ile ile, kutojali kama umeridhika. Akifika anaiweka tu, hakuna maandalizi, hajui hata kama amekuchubua etc.

  • Tabia za hovyo kama kuchepuka, ukali au hasira zilizopitiliza, dharau, na kupenda kulalamika kwenye kila kitu.

  • Kukosa mapenzi nje ya chumbani, mwanaume hajali mahitaji au hisia mpaka atake mbususu. Mawasiliano hafifu, hakusikilizi, anakubeza au kukupuuza ukimweleza mambo/matatizo yako, etc.

  • Kwa wanandoa; mume ambaye ambaye hajali majukumu ya kifamilia, kiuchumi, kimalezi n.k unakuta mwanamke anafanya kila kitu peke yake kama hujaolewa (hii ni tofauti kama hamuishi mji mmoja).

  • Mwanaume mchafu, harufu mbaya ya mwili au mdomo, au kuvaa na kurudia nguo chafu.

  • Mwanaume kupoteza mvuto, uzito wa kupindukia, kunywa pombe kupitiliza, kutojipenda, na matatizo ya kiafya ambayo yanaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

  • Mwanaume bahili, hahudumii, kila siku hana hela ila anataka apewe chini kila akiiomba.
CC:
nakwede97Aaliyyah
Leejay49Atoto
Sister AbigailMs R
realMamyQashy Lilith
To yeye
Msweet
Chujio
ledada
Carleen
Numbisa
Mama Mwana
SweetyCandyEllerie Bexley
ephen_Donatila * Lamomy
Jackcharty * Kelsea * Braying * Evelyn Salt
 
Hii nchi imeoza pumbavu muda wote zimejaa mada za uzinzi tu from mainstream to social networks mlaaniwe
giphy.gif
 
But kama ni mume why awe mchafu?
Huyo mke anafanya nini?!

Sina cha kunikata stimu.
Wengine pasua kichwa tu, umemfulia na nguo safi zipo ila kubadili hataki. Boxer hiyo hiyo wiki nzima kama ameagizwa na mganga wake 🤦‍♀️ .
 
Back
Top Bottom