Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #61
Wagumu Tunadumu Tumwesige senior Mwachiluwi mjibuni mwenzenuKwa mlioko daslama mtuambie "mbususu" ni kitu gani sisi ambao hatujawahi kufika huko
Uvivu wa kuwaza tu
Hii ni terminology ambayo hutumiwa na beberu kuomba kipochi manyoya kwa jike
mimi npo mkoani lakini mbususu ni kiungo cha uzazi cha mwanamkeKwa mlioko daslama mtuambie "mbususu" ni kitu gani sisi ambao hatujawahi kufika huko
nimeshamjibu tayari
Hili eneo nasikia limetekwa na M2β¦ au uongoNgoja nitulie hapa, naweza nikaopoa goma hapa
πππ labda kulikuwa na marekebishoHili eneo nasikia limetekwa na M2β¦ au uongo
Endelea kulitafuta utakipata cha mtemakuni.πππ labda kulikuwa na marekebisho
Kwa nini?Endelea kulitafuta utakipata cha mtemakuni.
Hilo GomaKwa nini?
Sekta nyeti sana hiiWazingatie hili
ha ha ha duniani raha sanaHilo Goma
We unataka tukufundishe nini?Naona mko busy mnafundishana umalaya
Kunipa mbususu kigagula weweWe unataka tukufundishe nini?
Gentleman hawaongeagi hivi. Mimi siyo dume ni mshangazi. Niamkie πHuku na huku.. nawasiwasi na hii account, unakuta ni Ndume hii..
Atakaenibishia ipo siku ataitafuta hii comment.
Hatuwawazii kabisa tuko busy ππ¦Viazi mpo Dar mnapanga kubanduana tu. Hivi mnatuwazia tulio vijijini na hatuna wa kumbandua?
Shwain
Sipo, sijaona Theresa hapo!Soma
Wewe tayari umeshapagawishwa? Na nini kilikufanya upagawe.Mbona tayari au unataka kuwaokotesha makopo watoto wa watu.
Umekuja na kelele nyingi kumbe unataka mbususu. Hebu tulia, upwiru utakumaliza!Kunipa mbususu kigagula wewe
NAKAZIANyingine zote wakisahau hamna shida ila hilo la kutopimia mbususu nadhani ilibidi liwe la kwanza kabisa