Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Tuna hela sana nantunakula mbususu za pisi kalinaskia wako na insecurities na wanahonga sana..... Wazoefu waje kwanza waseme
Ngoja nitabadili jiNa mkuu,. Hii 49 nimwache yeye mkongwe
AiseeTuna hela sana nantunakula mbususu za pisi kali
Karibu...mie ni andunje nipo tayadi kukuhonga utakavyoAisee
Sema sijai kuwawaziaga watu wafupi aiseeKaribu...mie ni andunje nipo tayadi kukuhonga utakavyo
nilidhani nyie ni twin sistersNgoja nitabadili jiNa mkuu,. Hii 49 nimwache yeye mkongwe
upo sahihi, Pesa siyo shida zao..! Ila pale uanze kuwekewa spies wa kufuatiliwa hata ukisalimia tu mkaka wa supermarket mrefu, hapo ndiyo utatamani uteme Pesa za 'short chasis' enye umekula..!!😂😂naskia wako na insecurities ila wanahonga sana..... Wazoefu waje kwanza waseme
Haha nadhani shida ni kwamba wanahisi wanawake wote wanavutiwa na wanaume warefu ndio maana wanatumia nguvu kubwa sasa kufanya uendelee kubaki nae, Ndio kama hivyo kuweka pesa mbele na wivu😂No offense, ila wakaka wafupi 'baadhi' yao hawajiamini kabisa, kumbe wewe mpaka umemkubali wala hakuwa amepanda kwenye stuli wakati anatema madini..!!
Ooh kumbeVinga'nga'nizi
Wapenda kweli achana na Hawa nguzo za umeme
Anaweza akawa ni sister Pia, Cause naona yuko humu kitambo ... Nadhani kipindi hiki Id yake ndio iko Active, ningemfaham zamani wakati najiunga ningeweka utofautinilidhani nyie ni twin sisters
Af short men are romantic hamjui tu
[emoji1787] aiseeVinga'nga'nizi
Wapenda kweli achana na Hawa nguzo za umeme
<3 nice what a cuincedenceAnaweza akawa ni sister Pia, Cause naona yuko humu kitambo ... Nadhani kipindi hiki Id yake ndio iko Active, ningemfaham zamani wakati najiunga ningeweka utofauti
YEah<3 nice what a cuincedence