NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Yaani moja ya urefu gani yenye vikorombwezo vipi?Kivipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani moja ya urefu gani yenye vikorombwezo vipi?Kivipi
Umemaliza yote mami 😍Ya kwanza unaibana maana hawachelewi kukojoa hao....anapoanza kuitafuta ya pili nawe ndiyo pa kufika pahala.La tatu baada ya kupumzika sana.Nne asubuhi....kama Mpenzi mchovu sikuhiyo basi Tatu asubuhi.
Afu tuwapende hao,huwa haichoshi,unaiweka mwenyewe...ila kama huna hisia nae hata moja huwezi kuhimili
🤣🤣🤣✌️Umemaliza yote mami 😍
Ngoja niende nikamuwekee huyu mzee mwenzangu aende kazini mwepesi 🤭
View attachment 3251374
Watoto wamefukuzwa ada shuleni, madeni ya vikoba, LBL imefungwa hajatoa pesa hake, unadhani hamu itatoka wapi?Wanawake wa sasa hivi hawana tofauti na ma broiler yale makuku ya kisasa, unalikuta limezubaa lipo lipo tu hamu halina mvuto halina hovyo tu.
Wanawake asubuhi tu mnawaza mgono? Tutatoboa?Umemaliza yote mami 😍
Ngoja niende nikamuwekee huyu mzee mwenzangu aende kazini mwepesi 🤭
View attachment 3251374
🤣Hii ndio list ya WA....zi???
Eti vibao kama vya kuku 😂😂Wengine wana vibao kama vya kuku huyo hata akipiga kumi ni kama kujilisha upepo tu, hana
Maana
😀😃😄😃😃😃😃😃😃Round moja mimi inanitosha.
Akienda ya pili nadai talaka.
Tusiwaze tamu asubuhi, wakati nyie mkiamka tu imesimama na mnataka 😅Wanawake asubuhi tu mnawaza mgono? Tutatoboa?
Hahaha.....ile inasali ibada ya asubuhi tu sio kwamba inawaza ngono.Tusiwaze tamu asubuhi, wakati nyie mkiamka tu imesimama na mnataka 😅
Sasa la kwanza linavyowahi hivyo, si bora impe na la pili, lichelewe Ili nawewe angalau ukojoe.Nimesema round moja tu 😜
Na dkk ziwe nyingi nyingi
Wenye bao fupi kama chafya wanyongwe
Acha mambo zako dokta, mimi ikinigusa tu asubuhi kinawaka. Hutaki, basi geukia upande wa pili ili alfajiri usinichome chome taukor na mrungu wako kama hutaki niiweke 😅.Hahaha.....ile inasali ibada ya asubuhi tu sio kwamba inawaza ngono.
We Mshangazi una sound kama Demu wangu hivi Mtamu sana.Acha mambo zako dokta, mimi ikinigusa tu asubuhi kinawaka. Hutaki, basi geukia upande wa pili ili alfajiri usinichome chome taukor na mrungu wako kama hutaki niiweke 😅.
View attachment 3251473
Huwezi jua labda ndiyo mimi ila nimejificha tu kwenye ID 😂😂We Mshangazi una sound kama Demu wangu hivi Mtamu sana.
Kiukweli kabisa kutoka moyoni mwangu.....niliwaza kabisa huyu Mbona kama Mama Fulani? Ndio maana nikaandika🤣🤣Huwezi jua labda ndiyo mimi ila nimejificha tu kwenye ID 😂😂
Kitambo sana huyo sijui yupo wapi aiseeAjabu ni kuwa wao wanatuhesabia mabao, ila wao hawapigi hayo mabao...
Hata hivyo naona Kapeace amerudi🤣🤣🤣🤣