Pre GE2025 Jan 23/24, Maandamano yahusishe wadau wote

Pre GE2025 Jan 23/24, Maandamano yahusishe wadau wote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Kwamba tunataka katiba mpya? La mgambo limelia, haijalishi nani kaitisha.

2. Kwamba siku za nyuma kuna waliotutenda ndivyo sivyo, hayo yalikuwa mapungufu yao; hayatuhusu!

3. "Mwabukusi, Mdude, Buberwa, Sauti ya Watanzania, ACT, CHADEMA, TEC, BAKWATA, MAIMAMU, Masheikh, Maaskofu, nk; fursa yetu nyingine ni hiyo."

4. Adui wa mwenzetu ni adui yetu kindaki ndaki; kuitika wito kumkabili vilivyo, hilo ni jukumu takatifu!

5. Tujifunze kusameheana; uadui si ndwele, haulipi na haupo u milele kwenye uadui au urafiki.

6. Tuwekeze kwenye mapambano ya pamoja, umoja ni nguvu.

7. Yaliwezekana na yakalipa kwenye UKAWA; tuwakane na kuwakemea wote: "wabinafsi na wajinga."

8. Tanzania ni kubwa kuliko vyama, viongozi na hata wafuasi.

9. Hakuna kulia lia; 23/24 tumwagike nchi nzima na zana zetu za usafi.

10. Ikimpendeza Chalamila tushirikiane ikiwamo kuandamana.

11. Katiba mpya, ulinzi, usalama wetu na hata usafi dhidi ya kipindu pindu, ni jukumu letu sote.

12. Kuandamana ni haki yetu.

IGA ni haramu; Katiba mpya ni Sasa!
 
CHADEMA wanaweza kuchukua points hapo ,wawe Frontline haswa viongozi wakizembea watajikaanga kabisa.

Hiyo mikwara ya Fisiemu tu ila wakikaza sio kinyonge wanatoboa....
 
CHADEMA wanaweza kuchukua points hapo ,wawe Frontline haswa viongozi wakizembea watajikaanga kabisa.

Hiyo mikwara ya Fisiemu tu ila wakikaza sio kinyonge wanatoboa....

1. Halipaswi kuwa la CHADEMA. Wao wameita hili ni letu. Hamasa ielekezwe huko.

2. Ila sasa sote tunayaona hivyo?

3. Au ni yale yale ya points, yaani selfish political mileage?

4. Zingatia:

CHADEMA, ACT, CUF na wengine, na hofu ya kuonja sumu

5. Hapo #4 ndipo tunahitaji kujikwamua.
 
Hatua chache tulizozifikia kuhusu maridhiano zinataka kuondoshwa kwa nguvu kubwa kabisa, upole na uungwana wa mezani sasa unaonekana si lolote, ikibidi, WATWANGWE TU, hakuna namna ingine, although serekali haitaki kuelekea huko!,....
 
Ningefurahi kuona mbowe na familia yake wakiwa mstari wa mbele kabisa!

1. Hawatakuwa peke yao tutakuwa bega kwa bega nao.

2. Kwani wewe utakuwa wapi, au
wewe unapenda katiba ile ile zamani?
 
Lissu yeye keshapekeleka familia yake zamani kwa Amsterdam, pambalu (Erythrocyte) atakuwa na majukumu ya ndani.
Waliobaki ni keyboard worriers.

1. Ukombozi siyo wa familia Kwa familia bali mtu mzima, mmoja mmoja.

2. Hata mwanawe Natenyahu (mjeshi) katulizana marekani huko!

IMG_20240114_065009.jpg


3. Mtu mzima hubeba msalaba wake mwenyewe.

4. Ukombozi hauwahusu under 18.

5. Over 18 hao ni watu wazima hawafungamanishwi hao na baba au waume zao.

6. Mbona wewe tunavaana nawe "kavu kavu" bila kuwahusisha familia yako?

Hatudanganyiki!
 
Hatua chache tulizozifikia kuhusu maridhiano zinataka kuondoshwa kwa nguvu kubwa kabisa, upole na uungwana wa mezani sasa unaonekana si lolote, ikibidi, WATWANGWE TU, hakuna namna ingine, although serekali haitaki kuelekea huko!,....

1. Si kuwa wapinzani ndiyo hawataki kuelekea huko kwenye Shari?

2. Dawa ya moto ni moto.

F4coIWrWkAI9Dlw.jpeg


3. Jiridhishe kutambua mwenye nchi mwananchi!

IMG_20231208_100714.jpg


4. Au ungependa tufanye kama tunainuka muone kama dhifa itaendelea?

5. Kwa uvumilivu na subira zetu msituone manyani!

F90vli0XkAAiik6.jpeg
 
Wapo wapumbavu ambao hudhania pale ccm itakapoondoka maendeleo makubwa yatapatikana, huu ni ujinga ambao tunauona kwenye nchi nyingi jirani zinazotuzunguka, ona Zambia serekali imefail kabisa kiasi wazambia wanakufa kwa kipindupindu kijinga kabisa serekali yao hata kupiga dawa sehemu zote hatari imeshindwa imeomba China msaada!
Tujifunze, sisi kama watanzania wenye utimamu kiakili ukizingatia mifano hai tunaiona Kenya na kwingineko, TUSIACHE MBACHAO......
#TUTAKUJA KUINGIZA SEREKALINI WAVUTA BANGE TUJUTE TUSIJUE LA KUFANYA.
# YAPO MAMBO SI YA KUYAJARIBISHA KABISA WALA KUONJA TUSITHUBUTU.
 
1. Kwamba tunataka katiba mpya? La mgambo limelia, haijalishi nani kaitisha.

2. Kwamba siku za nyuma kuna waliotutenda ndivyo sivyo, hayo yalikuwa mapungufu yao; hayatuhusu!

3. "Mwabukusi, Mdude, Buberwa, Sauti ya Watanzania, ACT, CHADEMA, TEC, BAKWATA, MAIMAMU, Masheikh, Maaskofu, nk; fursa yetu nyingine ni hiyo."

4. Adui wa mwenzetu ni adui yetu kindaki ndaki; kuitika wito kumkabili vilivyo, hilo ni jukumu takatifu!

5. Tujifunze kusameheana; uadui si ndwele, haulipi na haupo u milele kwenye uadui au urafiki.

6. Tuwekeze kwenye mapambano ya pamoja, umoja ni nguvu.

7. Yaliwezekana na yakalipa kwenye UKAWA; tuwakane na kuwakemea wote: "wabinafsi na wajinga."

8. Tanzania ni kubwa kuliko vyama, viongozi na hata wafuasi.

9. Hakuna kulia lia; 23/24 tumwagike nchi nzima na zana zetu za usafi.

10. Ikimpendeza Chalamila tushirikiane ikiwamo kuandamana.

11. Katiba mpya, ulinzi, usalama wetu na hata usafi dhidi ya kipindu pindu, ni jukumu letu sote.

12. Kuandamana ni haki yetu.

IGA ni haramu; Katiba mpya ni Sasa!
Umeongea maneno muhim sana , haya ndo mambo naunga mkono kwa 100%
 
24 kila mtu atembee na mfangio pakuanza kufagia ni kwenye ofisi ya CHALAMILA, na deki tutapiga yani

1. Kama ni full dhamira tutakuwapo lakini si uswahili uswahili.

2. Tuzione jitihada za maridhiano baina ya wadau na uhamaaishaji.

3. Biashara asubuhi na penye moshi, moto upo.
 
Back
Top Bottom