Jana Ihefu FC kaingia katika Mfumo Kakoga 5 mnadai Kahongwa je, nawe zile 6, 5 na 4 nyingi nyingi Ulizopigwa Ulihongwa?

Jana Ihefu FC kaingia katika Mfumo Kakoga 5 mnadai Kahongwa je, nawe zile 6, 5 na 4 nyingi nyingi Ulizopigwa Ulihongwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Manara katika mengine sikubaliani nae ila hili la kusema kuwa huko aliko sasa wenye Akili timamu ni Wawili tu Babaake na Mstaafu wa Msoga na waliobakia Wote ni Majuha ( Fools ) nakubaliana nae 100%.

Kwahiyo na nyie leo mkiifunga Goli nyingi Geita Gold FC tena ukizingatia Kocha wao Minziro na Msemaji wao Kivuyo si tu ni Mashabiki wenu bali pia ni Wanachama Waandamizi wa Klabu yenu tuseme kuwa nanyi mmewahonga / mlihonga?

Hovyoooooooo......!!!!!!
 
Sisi mashabiki na wanachama wa IHEFU(THE REAL ESTATE),WAJUKUU WA MBOGO MAJI ndio tunaoujua ukweli..
ile sio ihefu ya kazikazi,tunawasubiri HIGHLAND STADIUM MBARALI Mje mtolee maelezo...
 
Kweli wewe ni popoma, wachezaji muhimu wa ihefu wapo benchi na wengine hawakuonekana kabisa tazama sura ya juma nyoso Kuna mengi anayajua mwamba baada yakufungwa goli la nne alikua Kama analaumu sana hiyo ilikua salamu kwenye benchi la ufundi ihefu.

Hizo goli tano njooni muifunge yanga na wydad Casablanca [emoji16]
 
Kweli wewe ni popoma, wachezaji muhimu wa ihefu wapo benchi na wengine hawakuonekana kabisa tazama sura ya juma nyoso Kuna mengi anayajua mwamba baada yakufungwa goli la nne alikua Kama analaumu sana hiyo ilikua salamu kwenye benchi la ufundi ihefu.

Hizo goli tano njooni muifunge yanga na wydad Casablanca [emoji16]
Kwani Yanga haijawahi kufungwa na simba hayo magoli 6 , 5 , 4 ? Au mnajitoa ufahamu?
 
Mechi ya jana biashara imefanyika wala sio siri, na inaonekana jamaa wanaitaka nafasi ya 4 kwenye ligi ivyo ili waipate imebidi wafanye biashara ya nipe nikupe, tunawaachia kombe la shirikisho msonge mbele na nyinyi mtuachie point 3 muhimu za ligi kuu ili tupambanie nafasi ya 4 tuiwakilishe nchi kimataifa msimu ujao, Ni ajabu wachezaji wote wazuri eti wanawekwa benchi wanapangwa wakaa benchi!!! Sisi tuliosoma cuba tulijua kinachoendelea wakati huo likawekwa duka golini bwana kado kilichotokea ndio icho
 
Mechi ya jana biashara imefanyika wala sio siri, na inaonekana jamaa wanaitaka nafasi ya 4 kwenye ligi ivyo ili waipate imebidi wafanye biashara ya nipe nikupe, tunawaachia kombe la shirikisho msonge mbele na nyinyi mtuachie point 3 muhimu za ligi kuu ili tupambanie nafasi ya 4 tuiwakilishe nchi kimataifa msimu ujao, Ni ajabu wachezaji wote wazuri eti wanawekwa benchi wanapangwa wakaa benchi!!! Sisi tuliosoma cuba tulijua kinachoendelea wakati huo likawekwa duka golini bwana kado kilichotokea ndio icho
Magoli yote yalikuwa "contested" na kipa na mabeki. Ihefu wangekuwa makini kipindi cha pili wangepata magoli baada ya kutoka kwa Inonga na kuumia kwa Mwenda maana backline ya Simba ilivunjika. Ukitaka kujua mpira wa jana ulikuwa na upinzani mkubwa angalia majeruhi kwa pande zote mbili.
 
Unakamatwa na ganja halafu unampiga makofi polisi? Ndio kilichowakuta IHEFU jana.
 
Manara katika mengine sikubaliani nae ila hili la kusema kuwa huko aliko sasa wenye Akili timamu ni Wawili tu Babaake na Mstaafu wa Msoga na waliobakia Wote ni Majuha ( Fools ) nakubaliana nae 100%.

Kwahiyo na nyie leo mkiifunga Goli nyingi Geita Gold FC tena ukizingatia Kocha wao Minziro na Msemaji wao Kivuyo si tu ni Mashabiki wenu bali pia ni Wanachama Waandamizi wa Klabu yenu tuseme kuwa nanyi mmewahonga / mlihonga?

Hovyoooooooo......!!!!!!
Wanauliza kwanini Magoli yote kipindi Cha kwanza yametokana na kipa & mabeki wake kujichanganya, kuteleza ktk boxi lao.

Wanauliza tuh huku.
 
Mechi ya jana biashara imefanyika wala sio siri, na inaonekana jamaa wanaitaka nafasi ya 4 kwenye ligi ivyo ili waipate imebidi wafanye biashara ya nipe nikupe, tunawaachia kombe la shirikisho msonge mbele na nyinyi mtuachie point 3 muhimu za ligi kuu ili tupambanie nafasi ya 4 tuiwakilishe nchi kimataifa msimu ujao, Ni ajabu wachezaji wote wazuri eti wanawekwa benchi wanapangwa wakaa benchi!!! Sisi tuliosoma cuba tulijua kinachoendelea wakati huo likawekwa duka golini bwana kado kilichotokea ndio icho
Wewe ni "mwandamizi" ya wale walio nje ya wale wawili, yaani Baba Haji na JK!
 
Kweli wewe ni popoma, wachezaji muhimu wa ihefu wapo benchi na wengine hawakuonekana kabisa tazama sura ya juma nyoso Kuna mengi anayajua mwamba baada yakufungwa goli la nne alikua Kama analaumu sana hiyo ilikua salamu kwenye benchi la ufundi ihefu.

Hizo goli tano njooni muifunge yanga na wydad Casablanca [emoji16]
Yanga mbona tulishaifumua 6-0, 4-0, 5-1 ,wewe wa wapi wewe?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Manara katika mengine sikubaliani nae ila hili la kusema kuwa huko aliko sasa wenye Akili timamu ni Wawili tu Babaake na Mstaafu wa Msoga na waliobakia Wote ni Majuha ( Fools ) nakubaliana nae 100%.

Kwahiyo na nyie leo mkiifunga Goli nyingi Geita Gold FC tena ukizingatia Kocha wao Minziro na Msemaji wao Kivuyo si tu ni Mashabiki wenu bali pia ni Wanachama Waandamizi wa Klabu yenu tuseme kuwa nanyi mmewahonga / mlihonga?

Hovyoooooooo......!!!!!!
Kwa kiwango cha Simba hawezi toa hela yake Kwa ihefu. Bora akanywee maji siku ya wydad cassablanca.
 
Back
Top Bottom