GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Manara katika mengine sikubaliani nae ila hili la kusema kuwa huko aliko sasa wenye Akili timamu ni Wawili tu Babaake na Mstaafu wa Msoga na waliobakia Wote ni Majuha ( Fools ) nakubaliana nae 100%.
Kwahiyo na nyie leo mkiifunga Goli nyingi Geita Gold FC tena ukizingatia Kocha wao Minziro na Msemaji wao Kivuyo si tu ni Mashabiki wenu bali pia ni Wanachama Waandamizi wa Klabu yenu tuseme kuwa nanyi mmewahonga / mlihonga?
Hovyoooooooo......!!!!!!
Kwahiyo na nyie leo mkiifunga Goli nyingi Geita Gold FC tena ukizingatia Kocha wao Minziro na Msemaji wao Kivuyo si tu ni Mashabiki wenu bali pia ni Wanachama Waandamizi wa Klabu yenu tuseme kuwa nanyi mmewahonga / mlihonga?
Hovyoooooooo......!!!!!!