Jana ilikuwa bado kidogo tu nirudie kunywa Pombe

Kipi hicho? Ulibebwa baada ya pombe kukuzidi,, au mfuko ulikata,, hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila weekend ( napenda sana siku ya j'pili coz hamna foleni barabarani) nawachukua mashost hao ledger plaza njiani mziki mkubwa unaona maisha ndo haya[emoji16]...yale maeneo si unajua ukiingia ndani utafikiri uko Beverly Hills, mi nakunywa wine ( 30,000) mashost windoek @Tsh 8,500...hahaahaa almanusura nifilisike mle, nikapakimbia nikarudi uswahilini na company nao ya bata nikaipiga chini, [emoji1787][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah pole sanaaa,, nlikuwa na manzi flani kipindi hicho alikuwa mnywaji kushinda mimi,, sasa mm nlitaka asinizidi ktk kunywa basi tunakunywa tunakunywa tunakunywa mida inaenda mwishowe kwa ule uvivu tunaamua kuchukua room basi asubuhi kusaka supu yaaan mwanzo mwanzo nliona sawa kwa kuwa alikuwa mpya mpya yaaan penz moto moto, ila baada ya mwaka mmoja nlimwambia tuache pombe lakini alikataa nikasema kwa style yako hii usitegemee kupata wazuri, rafiki zake wote pombeeeee,,, nashukuru nliachana naye,, namuona tu instagram mara leo CLUB VILLA mara NWANZA HOTEL,, MALAIKA,, Na ameanza kujichora matatoo,, ye full bata,, na anawapanga wanaume wenye pesa ,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Legder Plaza si mchezo, Konyagi ya sh 8,000/- kitaa wanauza 80,000/-!
 
[emoji106][emoji3578][emoji3578]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi nakunywa ilikuwa ikifika weekend natafuta chimbo la ukweli tena lisilo na vurugu huku naskiliza miziki ya Congo yaaan, ni kumaliza pesa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
hapa kwenye miziki ya congo nimecheka sana maana jamaa yangu akilewa huwa anayakata mauno balaa na ole wako mziki uzimike (hata kwa bahati mbaya ama ile umeisha uchelewe kuanza) atatukana balaa

mwingine akilewa anaanza kulia eti nimpeleke kwao pawaga (iringa huko) hapo tuko dodoma

basi walevi wana mambo ya ajabu sana
 
Hahaha hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah huwa sielewi mziki wa Congo una uhusiano gani na pombe,, hapo Dodomyaa nlikuwa ile siku ya mechi Taifa star na Uganda maeneo ya mji mpya pale ktk yaaan watu walilewa sanaaaa,, mi nikawa napga vitu softi basi watu wananichek kama sifanani na kutokunywa bia, dahh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…