witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kila weekend ( napenda sana siku ya j'pili coz hamna foleni barabarani) nawachukua mashost hao ledger plaza njiani mziki mkubwa unaona maisha ndo haya[emoji16]...yale maeneo si unajua ukiingia ndani utafikiri uko Beverly Hills, mi nakunywa wine ( 30,000) mashost windoek @Tsh 8,500...hahaahaa almanusura nifilisike mle, nikapakimbia nikarudi uswahilini na company nao ya bata nikaipiga chini, [emoji1787][emoji16][emoji16]Kipi hicho? Ulibebwa baada ya pombe kukuzidi,, au mfuko ulikata,, hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app