Jana nilikunywa pombe then nikanunua mayai ya kuchemsha nikala, saivi najamba mashuzi yananuka hatari

Jana nilikunywa pombe then nikanunua mayai ya kuchemsha nikala, saivi najamba mashuzi yananuka hatari

Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.

Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.

Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.

Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.
Umeangalia kama mafundi hawakupita na exhaust ya gari(bomba la kutolea moshi)?
 
Back
Top Bottom