Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
habari za ushindi wa Tanzania dhidi ya Uganda sijazifurahia maana jana nimetoka huku bagamoyo hadi temeke ili nishangilie taifa stars lakini nikaambulia kulizwa na mabomu na kupigwa na maji yanayowasha bila sababu yoyote........
KWA KWELI INAUMA SANA KUUMIZWA VILE WAKATI MIMI NILIKUWA NATAFUTA JINSI YA KUONDOKA BAADA YA KUAMBIWA TIKETI ZIMEISHA, LAKINI KABLA SIJAFIKA MBALI NIKAKUTANA NA HIYO KADHIA.
Nawashauri POLICEwaangalie namna nzuri ya kudhibiti watu lakini siyo kunionea vile. Nimetoka mbali bagamoyo nakuja kupigwa na mabomu ya machozi.
KWA KWELI INAUMA SANA KUUMIZWA VILE WAKATI MIMI NILIKUWA NATAFUTA JINSI YA KUONDOKA BAADA YA KUAMBIWA TIKETI ZIMEISHA, LAKINI KABLA SIJAFIKA MBALI NIKAKUTANA NA HIYO KADHIA.
Nawashauri POLICEwaangalie namna nzuri ya kudhibiti watu lakini siyo kunionea vile. Nimetoka mbali bagamoyo nakuja kupigwa na mabomu ya machozi.