Jana nilimwagiwa maji ya kuwasha na kulipuliwa mabomu ya machozi

Jana nilimwagiwa maji ya kuwasha na kulipuliwa mabomu ya machozi

habari za ushindi wa Tanzania dhidi ya Uganda sijazifurahia maana jana nimetoka huku bagamoyo hadi temeke ili nishangilie taifa stars lakini nikaambulia kulizwa na mabomu na kupigwa na maji yanayowasha bila sababu yoyote........

KWA KWELI INAUMA SANA KUUMIZWA VILE WAKATI MIMI NILIKUWA NATAFUTA JINSI YA KUONDOKA BAADA YA KUAMBIWA TIKETI ZIMEISHA, LAKINI KABLA SIJAFIKA MBALI NIKAKUTANA NA HIYO KADHIA.

Nawashauri POLICEwaangalie namna nzuri ya kudhibiti watu lakini siyo kunionea vile. Nimetoka mbali bagamoyo nakuja kupigwa na mabomu ya machozi.
Kuna namna nyingine nzuri zaidi ya hiyo?

Kwani uliumia?

Vibomu vyenyewe vinawasha dakika tano tu unakuja kujiliza hapa yaani Chadema kila kitu vilio
 
SIAMINI KAMA POLISI NI VICHAA, WAAMUE TU KUPIGA MABOMU BILA SABABU. MKUSANYIKO WOWOTE WENYE LENGO MOJA NI RAHISI KUBADILI LENGO NA KUWA UHALIFU, INAPASWA KUDHOBITIWA MAPEMA KABLA HALIJA OPT NIA OVU IKAWA SHIDA ZAIDI. WATU MMEAMBIWA TIKETI ZIMEISHA ILA MMENG'ANG'ANIA GETINI, BAADAE MVUNJE GETI KAMA MWAKA ULE (NIMEUSAHAU) GARAMA ZIRUDI KWETU SISI TULIOKATA TIKETI MAPEMA KWA RAHA ZETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIAMINI KAMA POLISI NI VICHAA, WAAMUE TU KUPIGA MABOMU BILA SABABU. MKUSANYIKO WOWOTE WENYE LENGO MOJA NI RAHISI KUBADILI LENGO NA KUWA UHALIFU, INAPASWA KUDHOBITIWA MAPEMA KABLA HALIJA OPT NIA OVU IKAWA SHIDA ZAIDI. WATU MMEAMBIWA TIKETI ZIMEISHA ILA MMENG'ANG'ANIA GETINI, BAADAE MVUNJE GETI KAMA MWAKA ULE (NIMEUSAHAU) GARAMA ZIRUDI KWETU SISI TULIOKATA TIKETI MAPEMA KWA RAHA ZETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na walivunja geti
 
habari za ushindi wa Tanzania dhidi ya Uganda sijazifurahia maana jana nimetoka huku bagamoyo hadi temeke ili nishangilie taifa stars lakini nikaambulia kulizwa na mabomu na kupigwa na maji yanayowasha bila sababu yoyote........

KWA KWELI INAUMA SANA KUUMIZWA VILE WAKATI MIMI NILIKUWA NATAFUTA JINSI YA KUONDOKA BAADA YA KUAMBIWA TIKETI ZIMEISHA, LAKINI KABLA SIJAFIKA MBALI NIKAKUTANA NA HIYO KADHIA.

Nawashauri POLICEwaangalie namna nzuri ya kudhibiti watu lakini siyo kunionea vile. Nimetoka mbali bagamoyo nakuja kupigwa na mabomu ya machozi.
Kawaloge mlingotini
 
Back
Top Bottom