Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
habari za ushindi wa Tanzania dhidi ya Uganda sijazifurahia maana jana nimetoka huku bagamoyo hadi temeke ili nishangilie taifa stars lakini nikaambulia kulizwa na mabomu na kupigwa na maji yanayowasha bila sababu yoyote........
KWA KWELI INAUMA SANA KUUMIZWA VILE WAKATI MIMI NILIKUWA NATAFUTA JINSI YA KUONDOKA BAADA YA KUAMBIWA TIKETI ZIMEISHA, LAKINI KABLA SIJAFIKA MBALI NIKAKUTANA NA HIYO KADHIA.
Nawashauri POLICEwaangalie namna nzuri ya kudhibiti watu lakini siyo kunionea vile. Nimetoka mbali bagamoyo nakuja kupigwa na mabomu ya machozi.
Haoni hata Mr Presidaa kaogopa mabomu ndio maana hajaenda kwa mchina kaangalia kwa TVMa uncle na maboss, tunaangalia kwa Tv no vurugu. Sasa Vita hamna hayo mabomu yataharibika ndo mana wana test kwa watu.
Subiri uchaguzi ukaribie uone washawasha.Ma uncle na maboss, tunaangalia kwa Tv no vurugu. Sasa Vita hamna hayo mabomu yataharibika ndo mana wana test kwa watu.
Siku wakiacha kutumikia chama wakatumikia wananchi ndipo stress zitakapokwishwaVijipolisi vyetu Vina stress Sana, kazini stress na vikirudi nyumbani vinakuta vimegongewa mademu zao! Ndio maana Wanaishia kufanya Upuuzi kama huu kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu walikuwa na tiketi na bado walionja joto ya jiwe, inaonekana tiketi ziliuzwa nyingi kuliko uwezo wa uwanja. Sasa sijui zilikuwepo tiketi bandia ama vipiWatu wenye mapenzi na tukio kama la jana huwa wanalifanya kuwa special.
Wewe hukufanya hivo, ulitakiwa kufika mapema ukiwa tayari na tiket yako mfukoni unaingia uwanjani.
Sasa wewe ukurupuke huko af unakuja kulialia hapa kwanza mlivunja geti acheni ushabiki njaa.
Wenye mapenz ya ukweli na mpira wote waliingia ndani na walifurahi kweli.
Mashabiki njaa walivunja geti na waliishia kupigwa tear gas