adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
Wanajamii
kweli nimeamini dunia imevaa gunia!
jana mida ya mchana kweupe mishale ya saa6 nakatiza round about ya arusha-dar iliyopo mjini kati mo town.
basi bana mi sina hili wala lile hata sifkirii kwamba siku ya leo nitaona tukio la kufunga mwaka!
nikiwa na carina TI mbele kulikuwa na range rover vogue sport imetuna balaa hadi unaogopa hata kuisogelea nyuma zaidi nisije kuikwarua.
kufika ile round about yenye mjeshi juu mitaa ya YMCA jamaa aliekuwa kwenye vogue akatoa mkono dirishani kuni alert kwamba nisimame.nikiwa sijui hili wala lile ghafla nikaona mlango wa vogue upande wa dereva unafunguliwa nikashtuka kufumba na kufumbua akashuka kibosile ana bonge la mtambi akiwa uchiiii wa nyama!
akakimbia hadi pale katikati kabisa akiwa ameshika vijagi vya mbege(chibuku)kwa speed ya mwanga akajimwagia maji yaliokuwa mekundu kama damu kisha kama hana akili nzuri akambilia kwenye gari lake akasepa!
haikuchukua hata dakika na hakujali macho ya watu wote waliokuwemo eneo la tukio!
kweli nilishutuka nikashindwa hata kupiga picha maana ningechelewa kuona uhondo wa dunia.
Daahh kweli waganga wanatuabisha sana sipati picha bahati mbaya mtoto wake angekuwa eneo lile akaona picha nzima!
kweli nimeamini dunia imevaa gunia!
jana mida ya mchana kweupe mishale ya saa6 nakatiza round about ya arusha-dar iliyopo mjini kati mo town.
basi bana mi sina hili wala lile hata sifkirii kwamba siku ya leo nitaona tukio la kufunga mwaka!
nikiwa na carina TI mbele kulikuwa na range rover vogue sport imetuna balaa hadi unaogopa hata kuisogelea nyuma zaidi nisije kuikwarua.
kufika ile round about yenye mjeshi juu mitaa ya YMCA jamaa aliekuwa kwenye vogue akatoa mkono dirishani kuni alert kwamba nisimame.nikiwa sijui hili wala lile ghafla nikaona mlango wa vogue upande wa dereva unafunguliwa nikashtuka kufumba na kufumbua akashuka kibosile ana bonge la mtambi akiwa uchiiii wa nyama!
akakimbia hadi pale katikati kabisa akiwa ameshika vijagi vya mbege(chibuku)kwa speed ya mwanga akajimwagia maji yaliokuwa mekundu kama damu kisha kama hana akili nzuri akambilia kwenye gari lake akasepa!
haikuchukua hata dakika na hakujali macho ya watu wote waliokuwemo eneo la tukio!
kweli nilishutuka nikashindwa hata kupiga picha maana ningechelewa kuona uhondo wa dunia.
Daahh kweli waganga wanatuabisha sana sipati picha bahati mbaya mtoto wake angekuwa eneo lile akaona picha nzima!