pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Makutano ya lumumba na mkunguni, nikiwa naendesha pikipiki ghafla katikati ya bara bara nikavamiwa na bajaji mbili, moja mbele moja nyuma
Wakashuka watu wanne na kuchukua funguoza pikipiki huku wakinihoji kwanini sijavaa helmet,
Nilivyosikia hivyo tu moyo ukapoaaaaa nikajua niko salama, nikawapa 5000 nikaondoka, hawa jamaa ndio biashara yao pale lumumba na mkunguni wanajitafutia riziki, kuweni makini
Wakashuka watu wanne na kuchukua funguoza pikipiki huku wakinihoji kwanini sijavaa helmet,
Nilivyosikia hivyo tu moyo ukapoaaaaa nikajua niko salama, nikawapa 5000 nikaondoka, hawa jamaa ndio biashara yao pale lumumba na mkunguni wanajitafutia riziki, kuweni makini