MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Habari za leo wakuu,
Jana nilikuwa nasafiri kutoka dodoma kuja dar, nilikuwa nimepata lifti kwa rafiki yangu na tulikuwa wawili tu, njiani tumbo likaanza kunisokota, nilijitahidi kuvumilia lakini ilifika mahali ikabidi nimuombe asimamishe gari ili nijisaidie
mimi sikuwa na maji wala toilet paper, na sikupenda kuomba kwa rafiki yangu hivyo nilitelemka tu nikitegemea kutumia majani ya laini, baada ya kuharisha nikajipangusa kwa majani ya laini
Ile kukaa tu kwenye gari nikahisi kama uwasho fulani nikajua huenda sikujipangusa vizuri tukifika morogoro nitamuomba jamaa yangu nikajisaidie tena
Wacha nianze kuwashwa, nikajitahidi kuvumilia aah wapi mbona nilishindwa kuvumilia ikabidi nimuombe jamaa yangu maji yake ya kunywa ili nikajitawaze kwa maji na sabuni kule kule porini tena
Baada ya kujitawaza ndiyo uwasho ukaisha, sikumbuki jina la yale majani ila ni ya laini sana kama toilet tissue
Nawashauri Ndugu zangu ikiwa ni lazima ujisaidie porini basi epuka majani ya porini
Jana nilikuwa nasafiri kutoka dodoma kuja dar, nilikuwa nimepata lifti kwa rafiki yangu na tulikuwa wawili tu, njiani tumbo likaanza kunisokota, nilijitahidi kuvumilia lakini ilifika mahali ikabidi nimuombe asimamishe gari ili nijisaidie
mimi sikuwa na maji wala toilet paper, na sikupenda kuomba kwa rafiki yangu hivyo nilitelemka tu nikitegemea kutumia majani ya laini, baada ya kuharisha nikajipangusa kwa majani ya laini
Ile kukaa tu kwenye gari nikahisi kama uwasho fulani nikajua huenda sikujipangusa vizuri tukifika morogoro nitamuomba jamaa yangu nikajisaidie tena
Wacha nianze kuwashwa, nikajitahidi kuvumilia aah wapi mbona nilishindwa kuvumilia ikabidi nimuombe jamaa yangu maji yake ya kunywa ili nikajitawaze kwa maji na sabuni kule kule porini tena
Baada ya kujitawaza ndiyo uwasho ukaisha, sikumbuki jina la yale majani ila ni ya laini sana kama toilet tissue
Nawashauri Ndugu zangu ikiwa ni lazima ujisaidie porini basi epuka majani ya porini