Usisingizie pombe hapo, ni ashki/nyege zako zimekuponza tu😂Wakuu hapa niko hospital
Jana nimepigwa vibaya mno.
Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa,nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa,alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia,mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa,aroo wamenipiga hatari,daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.
Pole ila nakushauri ukienda maeneo kama hayo, soma mchezo na ulizia wenyeji kwanzaSawa mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu akuhurumieWakuu hapa niko hospital
Jana nimepigwa vibaya mno.
Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa,nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa,alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia,mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa,aroo wamenipiga hatari,daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.
Hawajakubiriga mkuu?Wakuu hapa niko hospital
Jana nimepigwa vibaya mno.
Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa,nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa,alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia,mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa,aroo wamenipiga hatari,daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.
Huyo njemba fala sana.Mkeo atakuwaje Bar maid?.Wamekuonea Mkuu.Pona kwanza tutafutane tuka revengeWakuu hapa niko hospital
Jana nimepigwa vibaya mno.
Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa,nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni bwana ake tena wa ndoa,alivyooana namtongoza yule manzi akanionya me sikusikia,mara ya tatu coz I was drunk nikamtukana jamaa,aroo wamenipiga hatari,daktari ananiambia hapa nimeletwa na diffender ya polisi nilikua sijitambui.
Pombe sio kabisa.
Lovelovie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu akuhurumie
Abe mkuu