2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kwanza kabisa pongezi kwa mkuu wa nchi kwa kuwa mkali.
Kabla ya Rais Magufuli discipline kazini ili 20% kwa sasa imepanda sana tunaweza kukadiria 80%. Ule ujinga wa "unanijua mimi ni nani"? Haupo tena.
Mada husika
Jana katika Ofisi za Manispaa ya Temeke niliona umuhimu wa Rais Magufuli na baadhi ya watumishi kuwafokea watendaji wa chini yao. Kumbe ukiangalia kwenye tv utaona kama wanaonewa ila kwa kweli Watanzania bila viboko hawafanyi.
Ofisi ilikuwa imejaa watu mbalimbali wanotaka kulipia leseni, ardhi n.k toka asubuhi mpaka saa 9 huduma zilikuwa slow sana kaz iliyotakiwa kufanywa na watu wa4 ilikuwa inafanywa na mmoja ukiuliza unaambiwa network inasumbua watu wakachoka wakaenda ofisi ya mkurugenzi mzee akaja aliwaka sana na wafanyakazi pale ndani ya dk 10 tu watu wote wakahudumiwa na kuondoka.
Swali likabaki je mkurugenzi alikuja na network?
Jibu wanalo wenyewe walikoromewa, KUMBE SIO KILA NETWORK INAYOSUMBUA NI KWELI, WAKATI MWINGINE NI KISINGIZIO TU CHA KUPOTEZA MUDA.
Kabla ya Rais Magufuli discipline kazini ili 20% kwa sasa imepanda sana tunaweza kukadiria 80%. Ule ujinga wa "unanijua mimi ni nani"? Haupo tena.
Mada husika
Jana katika Ofisi za Manispaa ya Temeke niliona umuhimu wa Rais Magufuli na baadhi ya watumishi kuwafokea watendaji wa chini yao. Kumbe ukiangalia kwenye tv utaona kama wanaonewa ila kwa kweli Watanzania bila viboko hawafanyi.
Ofisi ilikuwa imejaa watu mbalimbali wanotaka kulipia leseni, ardhi n.k toka asubuhi mpaka saa 9 huduma zilikuwa slow sana kaz iliyotakiwa kufanywa na watu wa4 ilikuwa inafanywa na mmoja ukiuliza unaambiwa network inasumbua watu wakachoka wakaenda ofisi ya mkurugenzi mzee akaja aliwaka sana na wafanyakazi pale ndani ya dk 10 tu watu wote wakahudumiwa na kuondoka.
Swali likabaki je mkurugenzi alikuja na network?
Jibu wanalo wenyewe walikoromewa, KUMBE SIO KILA NETWORK INAYOSUMBUA NI KWELI, WAKATI MWINGINE NI KISINGIZIO TU CHA KUPOTEZA MUDA.