Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Mungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.wadau jana nimeota kuwa yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku mudathiri,pacome na aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2,mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana finali yeye na muarabu(kundi moja).
kama huyu badala ya kulala anaota ujinga huuMungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.
acha tukoshe nafsi zetu maisha yenyewe magumu na mafupiMungu asaidie nchi hizi timu mbili zitolewe ila kelele ma radioni na vijueni zieshe ili watu wapate kufanya kazi, unakuta ofisi nzima wanajadili mpira wateja wako nje wanawasubilia.
Wanaanzia Dar halafu wanaenda kumalizia South Africa. Kama umeota 1-2 halafu ikafuata 2-1, basi hayo ni matokeo ya Mamelodi na si ya Yanga, maana mechi ya kwanza mgeni atakuwa ni MamelodiJana nimeota mechi ya ugenini Yanga anashinda 1-2 na nyumbani 2-1
Unaacha kuota kuku wako katotoa vifaranga 12, unaota utopolo. Hovyo kabisa.Wadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 hu222ku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
Ukiona choo usikitumie,mtego huo.Wadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
Kwa hizi ndoto kuna siku utajinyeaWadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).
kasema ugenini 1-2 , alafu nyumbani 2-1.. jiongezeWanaanzia Dar halafu wanaenda kumalizia South Africa. Kama umeota 1-2 halafu ikafuata 2-1, basi hayo ni matokeo ya Mamelodi na si ya Yanga, maana mechi ya kwanza mgeni atakuwa ni Mamelodi
Inaanza ipi?kasema ugenini 1-2 , alafu nyumbani 2-1.. jiongeze
Ishia kuota hivyo. Punguza mahaba usije ota PAKOME anafunga kwako goli 2-1 ugenini na nyumbani.Wadau, jana nimeota kuwa Yanga atashinda nje ndani kwa idadi ya magoli 4-2 huku Mudathiri, Pacome na Aucho wakishinda kwenye magoli hayo 2, mara nyingi huwa naota ndoto za kweli huenda ikawa idadi ya magoli ni tofauti ila Yanga anapita hatua inayofata na huenda Watakutana fainali yeye na mwarabu(kundi moja).